Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Huyu Bruno huyu dah! Naona kabisa msimu ujao top 4 mnaipata kwa timu hii.

Huyu Bruno huyu dah! Naona kabisa msimu ujao top 4 mnaipata kwa timu hii.
Hilo linaeleweka mkuuMakocha karibu wote huwa na mchezaji ambaye ni Multipurpose uwanjani, mchezaji anayeweza kuaccess eneo lote la uwanja.
Inawezekana akawa kwenye midfield au kwenye final third.
Ningeweza kukuwekea kila timu hapa ni mchezaji gani huwa anafanya hayo majukumu but nakupa exercise ndogo tu.
Kawaangalie vizuri Man city, Real Madrid, Bayern Munichen, Juventus Man united.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha dharau, mtu anaweza dhani umetusifia
Mwakani macho yetu yapo kwenye EPL na kila kitu kilicho mbele yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo linaeleweka mkuu
ila kuna muda kwenye mchezo mchezaji lazima ukabe kwa nguvu hata kama umepewa jukumu special
Man city ile bora kabisa ya msimu wa 2017-2018 kila mtu alikuwa anakaba kwa nguvu pale inapostahili..sio Bernado,sio Silva,sio De bruyne..Hata Pep aliulizwa akasema anawa-demand wachezaji wake wote wakabe tena vizuri..
Tunapata cleansheet nyingi msimu huu kwa kuwa pia eneo la kiungo pia linakaba sana ,Fred anakaba kama hana akili..
mambo ya kuwa na Middle legevu legevu yataanza kuturudisha tena nyuma hatua nyingi tu
Tutakuwa hovyo sana defensively..Hata mimi kusema Free Role simaanishi kwamba anasimama kusubiri kukabiwa uwanjani lakhsha.
Naamanisha awe na access maeneo mengi ya uwanjani kama anayofanya Bruno Fernandez kwa sasa, kama anayofanya KDB pale Man city au kama anayofanya Luka Modric pale Real Madrid.
Sasa hebu jaribu kuimagine unawachezaji wawili uwanjani wenye instincts za aina hiyo utakuwa na timu gani defensively ?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Kama Klopp na Guardiola wakihama vilabu vyao hapo sawa vinginevyo sahau kushinda EPL kwa sasa Mkuu,Tengeneza timu kwanza angalau hata kwa misimu miwili mbele tena sawa Mkuu.Mkuu acha dharau, mtu anaweza dhani umetusifia
Mwakani macho yetu yapo kwenye EPL na kila kitu kilicho mbele yetu
Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Kama Klopp na Guardiola wakihama vilabu vyao hapo sawa vinginevyo sahau kushinda EPL kwa sasa Mkuu,Tengeneza timu kwanza angalau hata kwa misimu miwili mbele tena sawa Mkuu.
Tupunguze wachezaji wa kingereza.Natamani abaki kuwa sehemu ya historia
We should move on
Summer inakuja tusajili wachezaji wanaojielewa..... Grealish/Madison not bad options
Huyu anaweza sema anabaki halafu katikati ya msimu aanze ujinga ujinga tena, kwanza ameshakuwa injury prone
We should move on
Kuelekea kumaliza msimu anaweza kucheza ili kuimarisha thamani yake na kwa kuwa tupo kwenye FA, Europa na ligi atapata tu nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani Pobga atauzwa safari hii.
Mshahara wake unaweza kulipa wachezaji wengine kama watatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba haamini kinachotokea am afraid tutamuuza cheap but acha aende tu.usishangae akaenda liverpool!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama City adhabu yake itaendelea mnaweza kuwa namba 2, ila kama rufaa itashinda watakuwa wao namba 2 na nyie 3.
Namba moja anajulikana, siyo swala la discussion.
Hahahahahahahahahhahahahahahahahah Kama Klopp na Guardiola wakihama vilabu vyao hapo sawa vinginevyo sahau kushinda EPL kwa sasa Mkuu,Tengeneza timu kwanza angalau hata kwa misimu miwili mbele tena sawa Mkuu.
Habri zenu mashabiki wenzaangu wa UTD..nilipotea kdg..ss nimerudi..
Kwa haraka haraka naona topic ni POGBA akirudi itakuwaje!? Swali ni kwamba ataingiaje kwenye team!?
Kabla ya yote ni kwamba POGBA anavyoonekana akirudi atataka kupambana ili kujionyesha kwamba bado ni King wa Old trafford kwa maana ya kwamba sshv ule wimbo pendwa wa "pogbaaa" umegeuka kuwa "Brunoooo"..so naona atakavyopambana kujionyesha he's still the best, which is good for the team
Okay tukirudi kwny formation..
Jibu ni rahisi kuna mifumo zaidi ya mitatu itakayoweza kuAccomodate midfield yote but lazima tuSacrifice mchezaji mmoja ili pogba aingie
4-4-2 diamond
Hapa katikati utakuwa na
Matic(CDM) POGBA(LCM) FERNANDES(CAM) na Fred(RCM)
4-3-1-2
Katikati unakuwa na CM watatu.. Na CAM-Bruno akicheza nyuma ya strikes wawili
4-3-2-1
HIi unakuwa na Central midfield(CM) watatu(matic,fred,mctominay) kwa mbele unakuwa na Attacking midfield wawil(Pogba+Bruno) na striker mmoja(Martial/ighalo)
Kuna wengine walisema auzwe..
Nakubaliana na hilo kwa 7bu Pogba mwenyewe alishasema anataka new challenge ss kwann tuendelee kumbembeleza!? Pia Agent wa jamaa ana maneno ambayo sio mazuri kwa club so Pogba must go unless akiamua kujicomit kwny club!
Lakini hata akiuzwa/asipouzwa inapaswa waingie midfield(glearish) Right wing(sancho) na striker(welner wa ujerumani) hapo UTD intakuwa ni Untouchable!!!!
GGMU..GGMU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupunguze wachezaji wa kingereza.
Twende ligi nyingine tukalete vipaji kama Bruno.
Grealish na Madison sikushauri. They are average.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani Pobga atauzwa safari hii.
Mshahara wake unaweza kulipa wachezaji wengine kama watatu.
Sent using Jamii Forums mobile app