GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,380
Kama tumepigwa, mwambieni Frank aache kulia lia sasaMkuu hili suala mbona tulijua mapema tu?
Pale TUMEPIGWA WAZI WAZI.
Uyu Buruno chini ya Ole ligi itamshinda tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole bora akaimbe Singeli tu
Mata anajua sana, ni timu yetu mbovu na kocha mbovu tu. Mata huwa nasema ni Bernardo Silva wetu pale United. Akiwepo pale unaona kabisa kuna ufundi katikati.
Sancho bei aiseeHuyu Martial kilichobaki tumtumie kumleta Sancho. Kama inawezekana .
Beggars can't be choosers
Sawa... Ila mi kwangu yupo kwenye 80-90...ngoja atulie au aende timu nyingine kama lukaku ndo utamuona
Nina uhakika huyu Fundi + Ighalo watakuumiza tutapokutana. Tunza hii comment!Mkuu hili suala mbona tulijua mapema tu?
Pale TUMEPIGWA WAZI WAZI.
Uyu Buruno chini ya Ole ligi itamshinda tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana uwezo Wa kutengeneza huo mfumo unaousema. Tutaendelea kushambulia kwa kuvizia na ushindi Wa kupwa na kujaaTuvute subira Ole anafanya usajili ambao una tija Sana, tangu aingie,
kilichobAki ni mfumo tu na first XI tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bruno mchezaji mzuri sana ila imetua timu ambayo sio sahihi. Man kwa sasa inaua vipaji vya wachezaji.
Bruno angetua city, Liverpool, Madrid, Barcelona ingekuwa mahala pake. Wachezaji sahihi wangemzunguka.
Ukiangalia stats za mechi ya kwanza ya bruno aliperfom vizuri sana mbali na ugeni wake EPL na maandalizi kidogo.
Ila sasa matakataka (Martial, james, pereira) anayocheza nayo yataendelea kumuangusha.
Naimani BRUNO ataendelea kufanya vizuri zaidi
Sent using Cash Money Wings
HahahaaaPerreira alikuwa moto??
Ngoja tu nilale
Wapiga ramli utawajua tu.Bruno tumepigwa bhana kwa kiasi alichonunuliwa mechi yake ya kwanza alipaswa awe na Ratings za juu sana
TUMEPIGWA

Hoja ya Bruno kuzungukwa na wachezaji wabovu haina uzito Mkuu
Kwani pale Sporting alizungukwa na akina nani?
Man Utd wakiwa kamili, yupo Degea/Romero, Wana Bissaka/Dalot, Shaw/Williams, Lindelof, Tuanzebe, Maguire, Bailly, Tominay/Fredy/Matic, Pogba, Rashford, Martial, Greenwood, James
Summer additions: Madison/Grealish, Sancho/Right winger Grealish na Striker yoyote (hawa tuachane nao)
Labda poor coaching ndio imuangushe. Na hilo benchi la ufundi (likiendelea hivyo) a summer after next summer hatutakuwa nalo
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana yangu tuwape Martial +Cash.
Hii ni kweli, kabisa.Hana uwezo Wa kutengeneza huo mfumo unaousema. Tutaendelea kushambulia kwa kuvizia na ushindi Wa kupwa na kujaa
Manchester United in EPL this year
Arsenal 2 Manchester United 0
Manchester United 4 Norwich 0
Liverpool 2 Manchester United 0
Manchester United 0 Burnley 2
Manchester United 0 Wolves 0
5 points out of 15
4 goals scored
6 goals conceded
Our next 5 EPL game
• Chelsea (A)
• Watford (H)
• Everton (A)
• Man City (H)
• Spurs (A)
Sent using Jamii Forums mobile app