Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chief-Mkwawa na Mc cane wananifurahisha kwa kujenga hoja, ndani ya uwanja na nje ya uwanja. Tunahitaji maarifa ya kutosha kwenye uchambuzi wa soka. There are some of these genes ila wamekimbia, hawaonekani kwenye hili jukwaa siku hizi, Rondo and the likes wanajenga hoja ya kimpira. Majukwaa mengine kuna King Ngwaba (ila sometime huyu jamaa anageuka kama kinyonga) na Aaron Arsenal wa football (note Aaron Arsenal wa kwenye siasa na imani za dini anakuwa kama kichaa). Embu tujifunze angalau tuwe tunapeana credit, tunapooana akili za namna hii katika ujengaji hoja when it comes football. Chelsea sijui kama kuna wajenga hoja, wanauguaga vichaa wale jamaa zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kule chelsea kuna mazombie tu, sasa mtu kama Ollachuga atachambua nin yule?? Labda kidogo cash money forever

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya mwezi December yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo aina ya wapinzani tulipokutana nao mfano kati ya timu 3 tulizozifunga tukiwa tunatumia huo mfumo, mwezi huo ni Colchester (timu ya League 2) na AZ Akmar ya Uholanzi.

Pia timu yetu imekuwa haitabiriki kimatokeo inaweza kushinda mfululuzo au kupoteza mfulululizo bila kupata sababu za msingi (inconsistence)

Katika mechi 4 tulizoshinda hicho kipindi, mechi moja (dhidi ya Burnley), Scot hakuwepo, hatukucheza 4-3-3 na tulishinda 2-0

Formation ya 4-3-3 si siri ya ushindi au kupoteza, mfano kati ya Machi 10 hadi May 12, mwaka 2019 tulicheza mechi 10 na matokeo ya United yalikuwa ni W-2, D-2 na L-8. Katika hiki kipindi tulikutana wapinzani wakali mfano Barcelona mara 2, Wolves mara 2, Arsenal na Everton, hivyo Ukiangalia tu stats za kufungwa mfulululizo halafu uziusianishe na matokeo bado hutapata majibu sahihi

Let's say mfumo wa 4-3-3 ndio unatubeba (mfano hayo matokeo ya December uliyoyaainisha) , kwanini OGS asiutumie huu mfumo msimu huu, kwanini achague mfumo wa 4-2-3-1 unaompa matokeo hasi. Basi hii pia inadhihirisha kuwa OGS hajielewi.
Unazungumziaje december tulicheza 4-3-3 na tukadhinda 2+ mechi 4, baada ya majeruhi ya Mc tominay tukarudi na 2 man midfield?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief-Mkwawa na Mc cane wananifurahisha kwa kujenga hoja, ndani ya uwanja na nje ya uwanja. Tunahitaji maarifa ya kutosha kwenye uchambuzi wa soka. There are some of these genes ila wamekimbia, hawaonekani kwenye hili jukwaa siku hizi, Rondo and the likes wanajenga hoja ya kimpira. Majukwaa mengine kuna King Ngwaba (ila sometime huyu jamaa anageuka kama kinyonga) na Aaron Arsenal wa football (note Aaron Arsenal wa kwenye siasa na imani za dini anakuwa kama kichaa). Embu tujifunze angalau tuwe tunapeana credit, tunapooana akili za namna hii katika ujengaji hoja when it comes football. Chelsea sijui kama kuna wajenga hoja, wanauguaga vichaa wale jamaa zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Rondo yupo ila amelikacha hili jukwaa kwa muda nahisi labda sababu ya mwenendo wa timu ulivyo...

Ila mkuu umenichekesha kuhusu chelsea mbona kule kuna mtaalamu mbobezi wa masuala ya soka kaka mkubwa Ollachuga Oc mpe credit zake walau kidogo basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya mwezi December yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo aina ya wapinzani tulipokutana nao mfano kati ya timu 3 tulizozifunga tukiwa tunatumia huo mfumo, mwezi huo ni Colchester (timu ya League 2) na AZ Akmar ya Uholanzi.


Pia timu yetu imekuwa haitabiriki kimatokeo inaweza kushinda mfululuzo au kupoteza mfulululizo bila kupata sababu za msingi (inconsistence)

Katika mechi 4 tulizoshinda hicho kipindi, mechi moja (dhidi ya Burnley), Scot hakuwepo, hatukucheza 4-3-3 na tulishinda 2-0

Formation ya 4-3-3 si siri ya ushindi au kupoteza, mfano kati ya Machi 10 hadi May 12, mwaka 2019 tulicheza mechi 10 na matokeo ya United yalikuwa ni W-2, D-2 na L-8. Katika hiki kipindi tulikutana wapinzani wakali mfano Barcelona mara 2, Wolves mara 2, Arsenal na Everton, hivyo Ukiangalia tu stats za kufungwa mfulululizo halafu uziusianishe na matokeo bado hutapata majibu sahihi

Let's say mfumo wa 4-3-3 ndio unatubeba (mfano hayo matokeo ya December uliyoyaainisha) , kwanini OGS asiutumie huu mfumo msimu huu, kwanini achague mfumo wa 4-2-3-1 unaompa matokeo hasi. Basi hii pia inadhihirisha kuwa OGS hajielewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwishoni mwa february Herrera anapata injury ya Hip anamiss mechi 6 na man utd inaanza ku struggle, mfumo ukabadilika, mfano hii mechi ya Arsenal tulicheza 4-4-2
Screenshot_20200204-182435.jpg

Refer mechi za psg, barca na mechi nyengine za kipindi kile tulikuwa tunacheza na 2 man forward mainly lukaku na rash.

Unasema ole ni mjinga kwanini asichezeshe 4-3-3 unatakiwa ufahamu midfield ili icheze 4-3-3 inabidi uwe na midfield watatu mmoja specialist wa kulia, mwengine kati na mwengine kushoto, kwetu kulia ni wawili tu Herrera na Mc tominay, na msimu huu kwa majeruhi ya matic, dogo mc tominay anacheza kama holding wa kati, hivyo hatuna kabisa mid ya kulia. Na tetesi nyingi za sisi kununua midfield zilikuwa zinasema kabisa right side midfield


Na hata midfield tuliemsajili bruno fernandez anacheza kama mid wa kulia kwenye 3 man midfield japo pia anaweza cheza kama holding na attacking centre.
 
Kwahiyo mechi zote hizo 12 nilizozitolea mfano OGS alikuwa hatumii mfumo wa 4-3-3 ndio maana United alikuwa kwenye form ya kushuka daraja?

Unataka kusema mfumo wa 4-3-3 ni bora kuliko mifumo yote ikiwemo wa 4-4-2, 3-5-2, 4-2-3-1? Mifumo yote ni mizuri with the right players, depending on the opponent you face. Mfumo sio kila kitu. Kuna mechi nyingi tu tumetumia mfumo wa 4-3-3 na tukapigwa


Kwa kocha mzuri, Fred anaweza kucheza vizuri tu mid ya kulia kama mbadala wa Herrera

Umesema OGS alicheza December mfumo wa 4-3-3 kwa kuwa alikuwa na wachezaji wa kufanya hivyo, nakumbuka kwenye pre season na wakati tunaanza msimu kila mtu alikuwa fiti na Ole aliutumia mfumo wa 4-2-3-1. Unataka kuniambia hawa waliocheza December hawakuwepo mwanzoni mwa msimu wakati tunapiga Chelsea 4-0 kwa mfumu wake wa katikati kuwa na 2-3? OGS hajui anachofanya.
Mwishoni mwa february Herrera anapata injury ya Hip anamiss mechi 6 na man utd inaanza ku struggle, mfumo ukabadilika, mfano hii mechi ya Arsenal tulicheza 4-4-2
View attachment 1346501
Refer mechi za psg, barca na mechi nyengine za kipindi kile tulikuwa tunacheza na 2 man forward mainly lukaku na rash.

Unasema ole ni mjinga kwanini asichezeshe 4-3-3 unatakiwa ufahamu midfield ili icheze 4-3-3 inabidi uwe na midfield watatu mmoja specialist wa kulia, mwengine kati na mwengine kushoto, kwetu kulia ni wawili tu Herrera na Mc tominay, na msimu huu kwa majeruhi ya matic, dogo mc tominay anacheza kama holding wa kati, hivyo hatuna kabisa mid ya kulia. Na tetesi nyingi za sisi kununua midfield zilikuwa zinasema kabisa right side midfield


Na hata midfield tuliemsajili bruno fernandez anacheza kama mid wa kulia kwenye 3 man midfield japo pia anaweza cheza kama holding na attacking centre.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa tunaofahamu mashindano tunayoshiriki kwa msimu tuliongea kabla msimu haujaanza kikosi chetu ni kidogo na tukipata majeruhi ya key players 3 tu timu itapotea,huwezi kuondoa 5 players kwenye timu bila replacement na hizi option za kusajili free agent na wachezaji wa mkopo ambazo OGS amehangaika kuzifanya January zilipaswa kufanyika tangu summer na alikuwa anasema yuko comfortable na wachezaji aliokuwa nao

That was another big mistake aliyofanya OGS baadae ikamlazimu kuwachezesha wachezaji wakiwa injury (Pogba,Rashford,McTominay) waliumia kocha akawachezesha kabla hawajawa fit baadae wakapata injury za muda mrefu.

Majeruhi ni kitu hakiepukukiki ndio maana timu zinakuwa na wachezaji wengi Liverpool wamepata majeruhi ya Alisson,Gomez,Matip,Lovren,Fabinho,OX,Keita .City Aguero,Sane,Laporte,Cancelo,Mendy
Wakati mwingine mashabiki wa united tunashindwa kuona mapungufu yaliyosababishwa na injury ya Pogba, Scot, Martial na sasa Rashford.

Suala la injury siyo la kumlaum sana Ole na baadhi ya wachezaji kutokuwa form kama timu yetu isingepata injury nyingi mwanzo wa msimu pengine tungekuwa juu ya hapo tulipo.

Vipindi ambavyo United tulipoteza point nyingi sana ni september, October na November lakini ndiyo kipindi Martial, Luke Shaw, Matic, paul Pogba na Scot walikuwa injured.

Mwezi December tulifanya vizuri kuliko timu zote with exception ya Liverpool tu kwani pamoja na udogo wa kikosi chetu tuliweza kupambana tukashinda 4 games za epl na mechi za FA na Carabao.

Nadhani ongezeko la Bruno Fernandez litatupa ahueni kidogo lakini kutokuwepo kwa Rashford kunafanya timu isiwe na madhara sana kwenye final third yetu.

Kosa walilolifanya Woodward kutokusajili striker wa maana kama Haland, Timo Werner au Cavan litaendelea kutufanya tuonekane wanyonge kwa kila timu hasa kutokana na washambuliaji wetu waliopo kutokuwa wapambanaji sana.

Ngoja tuone Ighalo ataongeza kitu gani kwenye safu yetu ya ushambuliaji kama ataelewana vizuri na wachezaji wenzake haraka huenda tukaona matunda yake.

Tactical brilliance ya benchi letu nafikiri siyo mbaya kihivyo, kitu nachokiona mimi ni mapungufu ni bench letu kushindwa kuwafanya wachezaji wetu kuwa real competitors.

Kujiamini kupita kiasi kwa timu yetu dhidi ya timu ndogo na benchi la ufundi kutokulifanyia kazi suala hili kumetugharimu sana msimu huu.

Mechi nyingi tulizotakiwa kupata points tuliziachia kirahisi sana tena bila hata kuonyesha kuwa tunahitaji point hizo.

Msimu tayari tumeshaupoteza huu tujipange kwa next season huenda tutatoboa but lazima tuongeze walau wachezaji wengine watatu ambao ni wa kuingia kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja kama Bruno.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mechi zote hizo 12 nilizozitolea mfano OGS alikuwa hatumii mfumo wa 4-3-3 ndio maana United alikuwa kwenye form ya kushuka daraja?

Unataka kusema mfumo wa 4-3-3 ni bora kuliko mifumo yote ikiwemo wa 4-4-2, 3-5-2, 4-2-3-1? Mifumo yote ni mizuri with the right players, depending on the opponent you face. Mfumo sio kila kitu. Kuna mechi nyingi tu tumetumia mfumo wa 4-3-3 na tukapigwa


Kwa kocha mzuri, Fred anaweza kucheza vizuri tu mid ya kulia kama mbadala wa Herrera

Umesema OGS alicheza December mfumo wa 4-3-3 kwa kuwa alikuwa na wachezaji wa kufanya hivyo, nakumbuka kwenye pre season na wakati tunaanza msimu kila mtu alikuwa fiti na Ole aliutumia mfumo wa 4-2-3-1. Unataka kuniambia hawa waliocheza December hawakuwepo mwanzoni mwa msimu wakati tunapiga Chelsea 4-0 kwa mfumu wake wa katikati kuwa na 2-3? OGS hajui anachofanya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Pre season tayari Herrera ameondoka, na kama ulivyosema ndio kocha anatumia mfumo kutokana na wachezaji alionao.

Pia nikukumbushe fred hajawahi kuwa na wenzake wote akiwa fit msimu huu, alienda kuoa pre season na mpaka ana regain fitness na kurudi kikosi cha kwanza tayari pogba na matic ni majeruhi, akakaa 2 man midfield na Mc tominay.

Na tunatumia sana 4-4-2 ama 3-5-2 kwenye mechi kubwa tunazoshinda kwa counter hivyo hii pia ni mifumo yetu tunayofanya nayo vizuri. 4-3-3 inatusaidia kutoboa low block timu zinazopaki basi.

Kwanini 4-2-3-1 inakataa na 4-3-3 ikubali? Jibu ni rahisi hatuna no 10 ya maana kwenye 2-3-1 wakati 3-3 yenyewe haitumii no 10 bali creativity inatoka kwa hizi midfield za pembeni ndio maana pogba alikuwa ni crucial sana kwenye huu mfumo.

Na toka pre season nilikuwa naliongelea hili leo angekuwepo Dybala wala tusingeona haya mapungufu kwenye 4-2-3-1 na angekuja bruno mapema 4-3-3 ingeendelea. Na mifdfield zetu zote 5 zikiwa fit sitashangaa tukiswitch 4-4-2 diamond
 
1. Momentum ya kocha mpya, wachezaji kuhamasika zaidi na mentality ya kutaka kumuonesha kocha anayeondoka (Jose) kwamba we are good and you were a problem (hapa watu kama Martial, Pogba & Co. wanahusika zaidi )

2. Timu pinzani kutomfahamu vizuri OGS kama kocha hivyo kushindwa kumkabili. Mara baada ya kujua mbinu za kocha, hususani reliance kwenye counter attacking ndipo timu ndogo zilipoamua kutumia mbinu ya Low block na United kukosa mbinu za kuvunja ukuta wa timu ndogo. Hii sababu ndio ninayoiamini zaidi.

3. Kuna baadhi ya watu wanaamini mfumo wa 4-3-3 na uwepo wa Herrera ndio ulichangia zaidi mafanikio ya United. Kwamba uwepo wa Herrera ulifanya kocha ampange Pogba kwenye nafasi za ushambuliaji zaidi kuliko msimu huu anavyompanga nyuma kwenye mfumo wa 4-2-3-1 ambao amekuwa akiutumia sana. Je sasa hivi hatuna mchezaji mwingine mwenye caliber ya Herrera? (hii hoja siiamini)

4. Hali ya ukocha wa muda ilimfanya OGS awe more comfortable, asiwe na hofu ya kupoteza tofauti na kuwa kocha wa Kudumu ambapo anakuwa na pressure zaidi. Hii inatajwa kama sababu kwani OGS wakati ni interm alikuwa akiwaambia akina Pogba, Rashford, Martial & Co. go and enjoy your game, hii iliwafanya wachezaji wacheze kwa uhuru na kuwa na ubunifu zaidi hivyo hii iliwachochea wachezaji wacheze to their full potential na kupata ushindi mechi nyingi




Sent using Jamii Forums mobile app
Herrera aliuzwa wakati alikuwa key player kwenye 4-3-3. Na hakuletwa mchezaji wa kumreplace Ander. Hiyo ni akili au matope?

Hata mashabiki waliona upungufu wa timu wakati tunaanza msimu. Kikosi kilikuwa chembamba sana. Kwanini kocha alikuwa comfortable wakati ule? Na wengi wakasema, ikiwa tukapata majeruhi tutatafutana humu. Na kweli tukapata majeruhi.

Wachezaji kupunguza morali baada ya kocha kupewa mkataba ni kosa la nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazungumziaje december tulicheza 4-3-3 na tukadhinda 2+ mechi 4, baada ya majeruhi ya Mc tominay tukarudi na 2 man midfield?
Kwahiyo tulitakiwa tuwe na options hata tatu kwenye kils namba. Ambapo kabla dirisha kubwa kabla halikufungwa, tulitakiwa tuwe na silaha za kutosha incase matatizo yakatokea. Si ndio?

Manake haiingii akilini timu kubwa na tajiri kama Man Utd inaanza msimu bila striker na midfield mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya mwezi December yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo aina ya wapinzani tulipokutana nao mfano kati ya timu 3 tulizozifunga tukiwa tunatumia huo mfumo, mwezi huo ni Colchester (timu ya League 2) na AZ Akmar ya Uholanzi.

Pia timu yetu imekuwa haitabiriki kimatokeo inaweza kushinda mfululuzo au kupoteza mfulululizo bila kupata sababu za msingi (inconsistence)

Katika mechi 4 tulizoshinda hicho kipindi, mechi moja (dhidi ya Burnley), Scot hakuwepo, hatukucheza 4-3-3 na tulishinda 2-0

Formation ya 4-3-3 si siri ya ushindi au kupoteza, mfano kati ya Machi 10 hadi May 12, mwaka 2019 tulicheza mechi 10 na matokeo ya United yalikuwa ni W-2, D-2 na L-8. Katika hiki kipindi tulikutana wapinzani wakali mfano Barcelona mara 2, Wolves mara 2, Arsenal na Everton, hivyo Ukiangalia tu stats za kufungwa mfulululizo halafu uziusianishe na matokeo bado hutapata majibu sahihi

Let's say mfumo wa 4-3-3 ndio unatubeba (mfano hayo matokeo ya December uliyoyaainisha) , kwanini OGS asiutumie huu mfumo msimu huu, kwanini achague mfumo wa 4-2-3-1 unaompa matokeo hasi. Basi hii pia inadhihirisha kuwa OGS hajielewi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Brother, Wolves, Arsenal na Everton sio timu kali kama tunavuojaribu kujifikirisha.

Ni kwamba standards za United zimeshuka sana. Almost kila kocha alikuwa anaifunga timu ndogo kama Arsenal. Why now?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa tunaofahamu mashindano tunayoshiriki kwa msimu tuliongea kabla msimu haujaanza kikosi chetu ni kidogo na tukipata majeruhi ya key players 3 tu timu itapotea,huwezi kuondoa 5 players kwenye timu bila replacement na hizi option za kusajili free agent na wachezaji wa mkopo ambazo OGS amehangaika kuzifanya January zilipaswa kufanyika tangu summer na alikuwa anasema yuko comfortable na wachezaji aliokuwa nao

That was another big mistake aliyofanya OGS baadae ikamlazimu kuwachezesha wachezaji wakiwa injury (Pogba,Rashford,McTominay) waliumia kocha akawachezesha kabla hawajawa fit baadae wakapata injury za muda mrefu.

Majeruhi ni kitu hakiepukukiki ndio maana timu zinakuwa na wachezaji wengi Liverpool wamepata majeruhi ya Alisson,Gomez,Matip,Lovren,Fabinho,OX,Keita .City Aguero,Sane,Laporte,Cancelo,Mendy

Sent using Jamii Forums mobile app
Thats my concern.

Kocha alikuwa very comfortable kuuza wachezaji. Why?

Tena ni key players.

Alitegemea kina Tahit Chong au Greenwood ndo wampe matokeo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo tulitakiwa tuwe na options hata tatu kwenye kils namba. Ambapo kabla dirisha kubwa kabla halikufungwa, tulitakiwa tuwe na silaha za kutosha incase matatizo yakatokea. Si ndio?

Manake haiingii akilini timu kubwa na tajiri kama Man Utd inaanza msimu bila striker na midfield mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hili linajulikana na sio tu kusajili bali structure nzima kuanzia sehemu za mazoezi, viwanja vya mazoezi, team ya madaktari, etc vinatakiwa viangaliwe sababu rate ya majeruhi toka moyes atimue staff wote wa fergie ni kubwa sana. Hakuna kocha post fergie ambae hajasumbuliwa na majeruhi 10+
 
Mkuu hili linajulikana na sio tu kusajili bali structure nzima kuanzia sehemu za mazoezi, viwanja vya mazoezi, team ya madaktari, etc vinatakiwa viangaliwe sababu rate ya majeruhi toka moyes atimue staff wote wa fergie ni kubwa sana. Hakuna kocha post fergie ambae hajasumbuliwa na majeruhi 10+
Okay. Tuachane na majeruhi.

Manake hata timu kubwa wanakumbana nalo.

Je, mbadala wa key player kupata majeruhi upo wapi?

Kocha amejipangaje kwa hilo.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom