Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bado najiuliza.

Inamaana Anthony Martial amekuwa garasa kwa uzembe wake au mbinu za kocha zimeshundwa kumfanya ang'are?

Wachezaji wanakuja wazuri, ila kocha ana mbinu mbovu mpaka wanashindwa kuonesha viwango vyao kwa muda mrefu.

Daniel James naye hivyohivyo.

Bado naamini Martial hajawa mbovu kiasi hiki, kocha ndie mbovu. Hana mbinu sahihi za kutumia wachezaji wenye vipaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Martial sio lone striker hawezi kukaa mbele peke yake kuwe na magoli, toka aumie Rashford na form ya martial imeshuka ila kabla hajaumia Rashford mbona amefunga Goli nyingi tu? Usisahau amefunga Goli 8 ndani ya hizi mechi chache alizocheza, bado goli 3 tu afikie Record yake ya goli 11 ya 2015/16.
 
Wapinzani wetu wajao, they should watch out to
Manchester United in EPL this year

Arsenal 2 Manchester United 0

Manchester United 4 Norwich 0

Liverpool 2 Manchester United 0

Manchester United 0 Burnley 2

Manchester United 0 Wolves 0

4 points out of 15
4 goals scored
6 goals conceded

Our next 5 EPL game

• Chelsea (A)
• Watford (H)
• Everton (A)
• Man City (H)
• Spurs (A)




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ya Bruno kuzungukwa na wachezaji wabovu haina uzito Mkuu

Kwani pale Sporting alizungukwa na akina nani?

Man Utd wakiwa kamili, yupo Degea/Romero, Wana Bissaka/Dalot, Shaw/Williams, Lindelof, Tuanzebe, Maguire, Bailly, Tominay/Fredy/Matic, Pogba, Rashford, Martial, Greenwood, James

Summer additions: Madison/Grealish, Sancho/Right winger Grealish na Striker yoyote (hawa tuachane nao)

Labda poor coaching ndio imuangushe. Na hilo benchi la ufundi (likiendelea hivyo) a summer after next summer hatutakuwa nalo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ole bora akaimbe singeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7636.JPG

IMG_7637.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hoja ya Bruno kuzungukwa na wachezaji wabovu haina uzito Mkuu

Kwani pale Sporting alizungukwa na akina nani?

Man Utd wakiwa kamili, yupo Degea/Romero, Wana Bissaka/Dalot, Shaw/Williams, Lindelof, Tuanzebe, Maguire, Bailly, Tominay/Fredy/Matic, Pogba, Rashford, Martial, Greenwood, James

Summer additions: Madison/Grealish, Sancho/Right winger Grealish na Striker yoyote (hawa tuachane nao)

Labda poor coaching ndio imuangushe. Na hilo benchi la ufundi (likiendelea hivyo) a summer after next summer hatutakuwa nalo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Ole alikuwa care taker wa United alikuwa anashida mfululizo.

Baada ya kupewa mkataba, akaanza kupoteza mfululizo.

Kwanini? Nini kimechangia timu kuwa hovyo baada ya yeye kusign mkataba mpya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United in EPL this year

Arsenal 2 Manchester United 0

Manchester United 4 Norwich 0

Liverpool 2 Manchester United 0

Manchester United 0 Burnley 2

Manchester United 0 Wolves 0

4 points out of 15
4 goals scored
6 goals conceded

Our next 5 EPL game

• Chelsea (A)
• Watford (H)
• Everton (A)
• Man City (H)
• Spurs (A)




Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna kocha sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Martial sio lone striker hawezi kukaa mbele peke yake kuwe na magoli, toka aumie Rashford na form ya martial imeshuka ila kabla hajaumia Rashford mbona amefunga Goli nyingi tu? Usisahau amefunga Goli 8 ndani ya hizi mechi chache alizocheza, bado goli 3 tu afikie Record yake ya goli 11 ya 2015/16.
Kwahiyo kung'aa kwa Martial kunamtegemea Rashford? Au mfumo wa kocha?

Swali lingine, Ole alishinda mechi mfululizo akiwa caretaker wa United. Baada ya kupewa mkataba rasmi timu imepoteza mechi nyingi sana na anaonekana yupo comfortable kabisa. Nipe sababu, why this drop? Nani alaumiwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kung'aa kwa Martial kunamtegemea Rashford? Au mfumo wa kocha?

Swali lingine, Ole alishinda mechi mfululizo akiwa caretaker wa United. Baada ya kupewa mkataba rasmi timu imepoteza mechi nyingi sana na anaonekana yupo comfortable kabisa. Nipe sababu, why this drop? Nani alaumiwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata december timu yetu ilishinda mfululizo ukitoa mechi ya watford, Mc tominay, pogba na wengineo waliporudi tuliwafunga city, spurs, newcastle na burnley tena kwa goli 2 ama zaidi. Na mechi ya newcastle ambayo tulicheza mfumo wetu pendwa 4-3-3 tulishinda 4.

Toka mwanzo tuna kikosi chembamba na majeruhi yamezidi kukifanya kiwe chembamba. Mechi zote za ligi ambazo Perreira amecheza katikati na fred tumefungwa hata draw hatujapata.

Matic aliporudi kuwa fit tumeona umuhimu wake, akirudi pogba na Mc tominay na midfield nyengine zikiwa fit utakisahau hichi kikosi.

Kuhusu ole hata msimu uliopita alianza kudrop point alipoumia Herrera, fred alikuwa anacheza vizuri UCL ila ligi ilikuwa ni tia maji tia maji, na gundu la majeruhi linaendelea hadi leo.

Na kuhusu martial usisahau mkuu hajawahi Martial kuwa na kiwango kushinda kipindi cha Ole, na mtu yoyote anaesema Martial ama Rashford wamepotea kipindi cha ole nahisi kama huwa haangalii mpira.

Mkuu leo hii mchukue salah, ama mane muweke peke yake pale mbele bila msaada watu wataanza kumtukana. Same kwa messi, dybala na wengine wataalamu wa 4-3-3

Kuna mastriker design ya Ibra, lukaku, ighalo, cavani etc hawa wanashine kama lone striker ila kuna wengine hawawezi.

Hata rashford mwanzo wa msimu alipoumia martial si mulikuwa munamtukana humu kwamba ni garasa? Ila aliporudi martial baada ya wiki kadhaa watu wanamfananisha na ronaldo.
 
Huyo mchezaji hewa Sanchez ana mkataba mpaka lini wakuu.?
Maana mpunga anavuta mrefu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sanchez hapati mshahara mkubwa akiwa hachezei Man U. De gea ndio analipwa zaidi man U.

Ili sanchez apate hela nyingi inabidi hiyo wiki Man Utd wawe na mechi 2 kwa wiki, moja iwe UCL na acheze zote mbili.
 
Chief-Mkwawa na Mc cane wananifurahisha kwa kujenga hoja, ndani ya uwanja na nje ya uwanja. Tunahitaji maarifa ya kutosha kwenye uchambuzi wa soka. There are some of these genes ila wamekimbia, hawaonekani kwenye hili jukwaa siku hizi, Rondo and the likes wanajenga hoja ya kimpira. Majukwaa mengine kuna King Ngwaba (ila sometime huyu jamaa anageuka kama kinyonga) na Aaron Arsenal wa football (note Aaron Arsenal wa kwenye siasa na imani za dini anakuwa kama kichaa). Embu tujifunze angalau tuwe tunapeana credit, tunapooana akili za namna hii katika ujengaji hoja when it comes football. Chelsea sijui kama kuna wajenga hoja, wanauguaga vichaa wale jamaa zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata december timu yetu ilishinda mfululizo ukitoa mechi ya watford, Mc tominay, pogba na wengineo waliporudi tuliwafunga city, spurs, newcastle na burnley tena kwa goli 2 ama zaidi. Na mechi ya newcastle ambayo tulicheza mfumo wetu pendwa 4-3-3 tulishinda 4.

Toka mwanzo tuna kikosi chembamba na majeruhi yamezidi kukifanya kiwe chembamba. Mechi zote za ligi ambazo Perreira amecheza katikati na fred tumefungwa hata draw hatujapata.

Matic aliporudi kuwa fit tumeona umuhimu wake, akirudi pogba na Mc tominay na midfield nyengine zikiwa fit utakisahau hichi kikosi.

Kuhusu ole hata msimu uliopita alianza kudrop point alipoumia Herrera, fred alikuwa anacheza vizuri UCL ila ligi ilikuwa ni tia maji tia maji, na gundu la majeruhi linaendelea hadi leo.

Na kuhusu martial usisahau mkuu hajawahi Martial kuwa na kiwango kushinda kipindi cha Ole, na mtu yoyote anaesema Martial ama Rashford wamepotea kipindi cha ole nahisi kama huwa haangalii mpira.

Mkuu leo hii mchukue salah, ama mane muweke peke yake pale mbele bila msaada watu wataanza kumtukana. Same kwa messi, dybala na wengine wataalamu wa 4-3-3

Kuna mastriker design ya Ibra, lukaku, ighalo, cavani etc hawa wanashine kama lone striker ila kuna wengine hawawezi.

Hata rashford mwanzo wa msimu alipoumia martial si mulikuwa munamtukana humu kwamba ni garasa? Ila aliporudi martial baada ya wiki kadhaa watu wanamfananisha na ronaldo.
Wakati mwingine mashabiki wa united tunashindwa kuona mapungufu yaliyosababishwa na injury ya Pogba, Scot, Martial na sasa Rashford.

Suala la injury siyo la kumlaum sana Ole na baadhi ya wachezaji kutokuwa form kama timu yetu isingepata injury nyingi mwanzo wa msimu pengine tungekuwa juu ya hapo tulipo.

Vipindi ambavyo United tulipoteza point nyingi sana ni september, October na November lakini ndiyo kipindi Martial, Luke Shaw, Matic, paul Pogba na Scot walikuwa injured.

Mwezi December tulifanya vizuri kuliko timu zote with exception ya Liverpool tu kwani pamoja na udogo wa kikosi chetu tuliweza kupambana tukashinda 4 games za epl na mechi za FA na Carabao.

Nadhani ongezeko la Bruno Fernandez litatupa ahueni kidogo lakini kutokuwepo kwa Rashford kunafanya timu isiwe na madhara sana kwenye final third yetu.

Kosa walilolifanya Woodward kutokusajili striker wa maana kama Haland, Timo Werner au Cavan litaendelea kutufanya tuonekane wanyonge kwa kila timu hasa kutokana na washambuliaji wetu waliopo kutokuwa wapambanaji sana.

Ngoja tuone Ighalo ataongeza kitu gani kwenye safu yetu ya ushambuliaji kama ataelewana vizuri na wachezaji wenzake haraka huenda tukaona matunda yake.

Tactical brilliance ya benchi letu nafikiri siyo mbaya kihivyo, kitu nachokiona mimi ni mapungufu ni bench letu kushindwa kuwafanya wachezaji wetu kuwa real competitors.

Kujiamini kupita kiasi kwa timu yetu dhidi ya timu ndogo na benchi la ufundi kutokulifanyia kazi suala hili kumetugharimu sana msimu huu.

Mechi nyingi tulizotakiwa kupata points tuliziachia kirahisi sana tena bila hata kuonyesha kuwa tunahitaji point hizo.

Msimu tayari tumeshaupoteza huu tujipange kwa next season huenda tutatoboa but lazima tuongeze walau wachezaji wengine watatu ambao ni wa kuingia kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja kama Bruno.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Momentum ya kocha mpya, wachezaji kuhamasika zaidi na mentality ya kutaka kumuonesha kocha anayeondoka (Jose) kwamba we are good and you were a problem (hapa watu kama Martial, Pogba & Co. wanahusika zaidi )

2. Timu pinzani kutomfahamu vizuri OGS kama kocha hivyo kushindwa kumkabili. Mara baada ya kujua mbinu za kocha, hususani reliance kwenye counter attacking ndipo timu ndogo zilipoamua kutumia mbinu ya Low block na United kukosa mbinu za kuvunja ukuta wa timu ndogo. Hii sababu ndio ninayoiamini zaidi.

3. Kuna baadhi ya watu wanaamini mfumo wa 4-3-3 na uwepo wa Herrera ndio ulichangia zaidi mafanikio ya United. Kwamba uwepo wa Herrera ulifanya kocha ampange Pogba kwenye nafasi za ushambuliaji zaidi kuliko msimu huu anavyompanga nyuma kwenye mfumo wa 4-2-3-1 ambao amekuwa akiutumia sana. Je sasa hivi hatuna mchezaji mwingine mwenye caliber ya Herrera? (hii hoja siiamini)

4. Hali ya ukocha wa muda ilimfanya OGS awe more comfortable, asiwe na hofu ya kupoteza tofauti na kuwa kocha wa Kudumu ambapo anakuwa na pressure zaidi. Hii inatajwa kama sababu kwani OGS wakati ni interm alikuwa akiwaambia akina Pogba, Rashford, Martial & Co. go and enjoy your game, hii iliwafanya wachezaji wacheze kwa uhuru na kuwa na ubunifu zaidi hivyo hii iliwachochea wachezaji wacheze to their full potential na kupata ushindi mechi nyingi


Wakati Ole alikuwa care taker wa United alikuwa anashida mfululizo.

Baada ya kupewa mkataba, akaanza kupoteza mfululizo.

Kwanini? Nini kimechangia timu kuwa hovyo baada ya yeye kusign mkataba mpya?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Momentum ya kocha mpya, wachezaji kuhamasika zaidi na mentality ya kutaka kumuonesha kocha anayeondoka (Jose) kwamba we are good and you were a problem (hapa watu kama Martial, Pogba & Co. wanahusika zaidi )

2. Timu pinzani kutomfahamu vizuri OGS kama kocha hivyo kushindwa kumkabili. Mara baada ya kujua mbinu za kocha, hususani reliance kwenye counter attacking ndipo timu ndogo zilipoamua kutumia mbinu ya Low block na United kukosa mbinu za kuvunja ukuta wa timu ndogo. Hii sababu ndio ninayoiamini zaidi.

3. Kuna baadhi ya watu wanaamini mfumo wa 4-3-3 na uwepo wa Herrera ndio ulichangia zaidi mafanikio ya United. Kwamba uwepo wa Herrera ulifanya kocha ampange Pogba kwenye nafasi za ushambuliaji zaidi kuliko msimu huu anavyompanga nyuma kwenye mfumo wa 4-2-3-1 ambao amekuwa akiutumia sana. Je sasa hivi hatuna mchezaji mwingine mwenye caliber ya Herrera? (hii hoja siiamini)

4. Hali ya ukocha wa muda ilimfanya OGS awe more comfortable, asiwe na hofu ya kupoteza tofauti na kuwa kocha wa Kudumu ambapo anakuwa na pressure zaidi. Hii inatajwa kama sababu kwani OGS wakati ni interm alikuwa akiwaambia akina Pogba, Rashford, Martial & Co. go and enjoy your game, hii iliwafanya wachezaji wacheze kwa uhuru na kuwa na ubunifu zaidi hivyo hii iliwachochea wachezaji wacheze to their full potential na kupata ushindi mechi nyingi




Sent using Jamii Forums mobile app
Unazungumziaje december tulicheza 4-3-3 na tukadhinda 2+ mechi 4, baada ya majeruhi ya Mc tominay tukarudi na 2 man midfield?
 
Back
Top Bottom