Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno tumepigwa
Wabongo sisi sijui tuna matatizo gani.😂😂

Mara hii tayari umeshammaliza Bruno mchezaji amefanya mazoezi siku moja tu na wenzake? Tena anacheza na Pereira 😂

NIMEFURAHI SANA MKUU KUONA COMMENT HII KUHUSU MARTIAL AKA MZEMBE

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamuona dogo Greenwood anaingia na anapiga mpira nusu uzae matunda ila Martial hata kukaza hawezi.
 
Bruno tumepigwa bhana kwa kiasi alichonunuliwa mechi yake ya kwanza alipaswa awe na Ratings za juu sana
TUMEPIGWA
 
Martial kazingua kama muda wote hivi, kasoro alipoingia Greenwood na yeye kwenda wing ya kushoto, hapo ndipo angalau alicheza. Kipindi cha kwanza kila akipewa mpira, ananyang'anywa.
Nadhani Martial anatakiwa ashambulie akitokea pembeni, Rashford pia ni hivyo hivyo,Mou alikuwa na akili sana.

Nafikiri huyu Ighalo atakuwa tisa halafu Martial na Rashford watatokea pembeni.

James ataanza kutulizwa bench.
 
Nadhani Martial anatakiwa ashambulie akitokea pembeni, Rashford pia ni hivyo hivyo,Mou alikuwa na akili sana.

Nafikiri huyu Ighalo atakuwa tisa halafu Martial na Rashford watatokea pembeni.

James ataanza kutulizwa bench.
Tatizo, wote Rash na Martial wanakuwa bora zaidi wakitokea kushoto.


Beggars are not choosers
 
Not good result, not bad result

Kwa kuangalia midfield iliyocheza, bado naona tumepata matokeo sio mabaya sana

Hayupo Matic, hayupo Tominay, hayupo Pogba. Hao wangekuwepo probably leo Pereira ambaye amecheza chini ya kiwango asingeanza. Nina uhakika tungefanya vizuri zaidi

Leo na siku zote tunazocheza na timu ambazo on paper tunazizidi huwa hatufanyi transition ya haraka ya mashambulizi pindi tunaponyang'anya adui mpira. Na hii ni style isiyomsaidia James kabisa

Martial amejitahidi kupambana lakini mipira mingi aliyopokea alikuwa akilipa mgongo goli la adui hivyo imekuwa ni ngumu sana kufanya jambo lolote

Bruno Fernandes, ambaye amefanya mazoezi jana tu na wenzake amecheza vizuri, sio sana lakini vizuri. Amepiga mashuti golini jambo ambalo tumekuwa tukishindwa kulifanya kwa mechi zetu nyingi. Pia amekuwa akijaribu kupitisha pasi (penetration pass). Kwenye kusaidia ulinzi ametimiza majukumu yake ipasavyo, not a bad debut.

Maguire solid as usual, Lindelof amecheza vizuri, Degea hakuwa bize sana lakini ametimiza majukumu yake, clean sheet kwenye mechi ya pili mfululizo. Inaonesha tunaizidi kuboreka kwenye ulinzi.

Wan Bissaka going forward bado sana, Wan Bissaka akiwa na mpira muda wowote anakosea. Wan Bissaka akikaba huwezi kuwa na wasiwasi. Wan Bissaka ana kazi ya kufanya

Waliobaki wamecheza vizuri. Sijui OGS aliwaza nini kumtoa Pereira na kuingiza Dalot wakati tunatafuta goli, nilidhani atamtoa Bissaka. Kwa mtazamo wangu sub ya Greenwood ilipaswa kuwa ya mapema zaidi, labda dakika ya 70, labda baada tu ya Adama kutoka

Twende kwenye mapumziko ya wiki 2 tukawatazame akina Lukaku wakifanya yao . Wiki mbili bila EPL ni nyingi sana.

Next stop, Stamford Bridge kwa wateja wetu. Ni matumaini Scot, Kirusi na Matic watakuwa wapo tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa hivyo, kuna mchezaji kati ya Martial au Rashy tutamkataa..... Yule atakayepangwa kulia
Nadhani Martial anatakiwa ashambulie akitokea pembeni, Rashford pia ni hivyo hivyo,Mou alikuwa na akili sana.

Nafikiri huyu Ighalo atakuwa tisa halafu Martial na Rashford watatokea pembeni.

James ataanza kutulizwa bench.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom