Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama Ole atajaribu kumuweka Fred nje katika hali yoyote nitamuona kichaa zaidi.

Naona kwa sasa baada ya ujio wa Bruno nafasi ya kiungo itakuwa na changamoto sana watakapopona Scott na Pogba. Maana hata huyo Mata siku hizi naona anacheza sana na anachangamsha sana timu sasa sijui ndio anaidai namba 10 yake.
Huyu kocha hafai mpuuzi yaani Mata anamuanzishaga benchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
83878376_789542984878815_3236558397872537600_o.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado najiuliza.

Inamaana Anthony Martial amekuwa garasa kwa uzembe wake au mbinu za kocha zimeshundwa kumfanya ang'are?

Wachezaji wanakuja wazuri, ila kocha ana mbinu mbovu mpaka wanashindwa kuonesha viwango vyao kwa muda mrefu.

Daniel James naye hivyohivyo.

Bado naamini Martial hajawa mbovu kiasi hiki, kocha ndie mbovu. Hana mbinu sahihi za kutumia wachezaji wenye vipaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado najiuliza.

Inamaana Anthony Martial amekuwa garasa kwa uzembe wake au mbinu za kocha zimeshundwa kumfanya ang'are?

Wachezaji wanakuja wazuri, ila kocha ana mbinu mbovu mpaka wanashindwa kuonesha viwango vyao kwa muda mrefu.

Daniel James naye hivyohivyo.

Bado naamini Martial hajawa mbovu kiasi hiki, kocha ndie mbovu. Hana mbinu sahihi za kutumia wachezaji wenye vipaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau

Martial alicheza vizuri chini ya Van Gaal. Mourinho alivyokuja na kumnyang'anya jezi namba 9 na kumpa namba 11, ukichanganya na mgogoro wa mahusiano na mpenzi wake enzi hizo hawajaoana, ndiyo ukawa mwanzo wa kuyumba.

Hivyo Ole kamkuta alishayumba tayari. Sema ndo hivyo, naye kashindwa kumrudisha enzi za kung'ara.
 
Dah..... Sijui hata nikikueleza utanielewa

Nishawahi kusema kwa mtazamo wangu, Pogba is 65%-75% complete midfielder,

Kwa hiyo ranking ya kiasilimia, sio mchezaji mbaya, ni mzuri, above average

Lakini hiyo haimaanishi kwamba, hakuna midfielders wengine (duniani) ambao ni 70%-80% au to 90%

OGS asingemng'ang'ania summer na tungemuuza na tungenunua mwingine nisingekuwa namuongelea kwenye kikosi chetu leo hii. Lakini kwa sasa ndio yupo kikosini lazima tumtumie, after all midfielder wa hiyo ranking ya 65%-75% sio mbovu kiivyo.

Kiufupi Pogba kama mchezaji, kama yupo tayari kujitoa kwa asilimia zote na akiwa na right attitude ana potential kufika hiyo asilimia 75 kiuchezaji lakini kwa bahati mbaya hana hiyo mentality

Narudia, kwa sasa Pogba ni moja kati ya most creative players tulionao kikosini (nimesema tulionao kikosini, sio duniani) , hivyo kumuweka pembeni akiwa fit ni kujichanganya

Mwisho Pogba ni mchezaji ambaye niseme ni aina wachezaji wenye nyota ya kuwa overhyped, Pogba, Gareth Bale ni aina ya wachezaji wenye majina makubwa kuliko uwezo wao. Pogba ni Kinyume cha wachezaji kama akina Kante, KDB, Firmino & Co.

Ikitokea mtu kashuka kutoka sayari nyingine akatajiwa Pogba anaweza kudhani ni level za akina CR7 au Messi au Hazard kumbe yupo nyuma yao sana kiuwezo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa... Ila mi kwangu yupo kwenye 80-90...ngoja atulie au aende timu nyingine kama lukaku ndo utamuona
 
Back
Top Bottom