mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 898
- 1,764
DuuhLingard anaingia dk ya 87 hahahahaha hata Samatta kamzidi magoli jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuhLingard anaingia dk ya 87 hahahahaha hata Samatta kamzidi magoli jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bruno anafanya kazi kubwa ya kucheza namba yake na ya Pereira. Pereira sijui anafanya nini uwanjani.
Yaani wew mchawi ulikua unasubiri game ihishe tu uje ujambisheMartial anacheza utoto utoto, hajitambui kama ameshakuwa na umri mkubwa hata makalio yake yameongezeka ukubwa.
Sent using Cash Money Wings
Umechemka sana..Perera leo alikuwa moto. Bruno leo hakuwa kwenye kiwango chake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapoteza mipira hovyo huyo dogo. Kuhusu Bruno nasubiri aje Pogba/Scott. Ila nahisi mif yetu itakuwa Pogba-Fred-Bruno hapo ndo nitamzungumzia Bruno. Fred kwa sasa anastahili kuanza kila mchezo hata akija Pogba na Scott. Wa moto leo alikuwa Special Juan. Kuna moja alikuwa anafunga kabisa ila mzembe Martial akaingilia. Huyo igbo atatusaidia sana maana sio kwa mzembe Martial. Wolves nao walikuwa wazembe leo,wamepoteza nafasi sana. |
Sijawahi kuona mbrazil wa hivi. |
Baada ya kutunanga Chelsea kwa kutoa draw, sasa nyie mliofanya usajili sijui nianzie wapi kuwananga.
Sent using Cash Money Wings
Hivi pamoja na ubovu wetu unajua wachezaji wetu watatu tegemezi ni majeruhi au unajifariji tu?😂 |

Martial ana tofauti na pereira, akipewa pasi lazima anyang'anywe, too lazy
Next game anzishwe yule mnigeria tu
Sent using Jamii Forums mobile app

Martial anacheza utoto utoto, hajitambui kama ameshakuwa na umri mkubwa hata makalio yake yameongezeka ukubwa.
Sent using Cash Money Wings
Perreira alikuwa moto??Umechemka sana..Perera leo alikuwa moto. Bruno leo hakuwa kwenye kiwango chake.
Sent using Jamii Forums mobile app
0 - 0
Sio mbaya, Wolves uwa timu ngumu sana, nimeridhishwa na draw, bora kupata 1point kuliko kufungwa
Leo tumecheza vizuri japo tume draw
My view
Bisaka aweke jitihada sana kwenye kushambulia, akiwa mbele hana mamuzi mazuri
James uwa ana mechi na mechi sielewi kwann huyu dogo uwa hivi japo anakipaji sana
Pereira + martial hamna kitu, hatuna options itabidi OGS awatumie tu ila ntafurahi next game akaanza yule mnigeria badala ya martial
Maguire: Hii machine kubwa, Baba lao
Victor: Yupo vizur
Shaw: Improvement
Fred the red: Mnyama
Mata: He deserve more play minutes, ana offer vingi uwanjani, leo bado kidogo ashinde goli
De Gea: #1 in the world
Bruno: kaongeza ubora wa kikosi chetu, akiolewana na fred pale kati, pia matic au scot wakirud mambo yatakua okey
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna analoweza huyu jamaa..akikaba ni faulu..akipewa mpira umepotea..yaani useless kabisa

Anapoteza mipira hovyo huyo dogo.
Kuhusu Bruno nasubiri aje Pogba/Scott. Ila nahisi mif yetu itakuwa Pogba-Fred-Bruno hapo ndo nitamzungumzia Bruno.
Fred kwa sasa anastahili kuanza kila mchezo hata akija Pogba na Scott.
Wa moto leo alikuwa Special Juan. Kuna moja alikuwa anafunga kabisa ila mzembe Martial akaingilia. Huyo igbo atatusaidia sana maana sio kwa mzembe Martial.
Wolves nao walikuwa wazembe leo,wamepoteza nafasi sana.
Wazungu nao ni kama sisi tu kwa unafiki na uongo. Trust no body in this world!
Ha ha ha haNajua OGS anakaribia kumtoa James aingie Greenwood. Mtu sahihi wa kutoka ni MARTIAL kipindi hiki cha pili amekuwa mdebwedo sana hajui hata anafanya nini.
Sent using Jamii Forums mobile app