Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
You are not serious.Upo serious kabisa hayo maneno?
-Kocha ambaye yupo responsible kwa trio ya Rooney/tevez/Ronaldo hajui kudevelop vipaji?
-kocha ambaye wakati yupo u23 ndio kikosi bora kabisa cha watoto miaka ya karibuni kikatoka kuanzia pogba, lingard, drinkwater, king, keane etc
-kocha aliembadili fred toka flop mpaka sasa ni fan favourite
-martial na rashford wote wapo kwenye form of their lives
-kocha alimtoa Haaland jalalani na watu kibao kumtabiria kakosea mpaka leo tunamuona super star
-kocha ambaye hata kabla Greenwood hatujamuona akifanya yake akasema Ni natural scorer ambaye hajawahi kumuona (anasema maneno hayo Rashford na Martial wapo kwenye form mwanzo wa ligi), na leo tunaona vision yake ilivyo accurate.
-mc tominay, wilson, james, lindelof wote wapo kwenye peak ya viwango vyao.
Wachezaji wachache sana utasema viwango vyao vimeshuka chini ya ole.
Martial na Rashford what?
Sent using Jamii Forums mobile app

