Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Upo serious kabisa hayo maneno?
-Kocha ambaye yupo responsible kwa trio ya Rooney/tevez/Ronaldo hajui kudevelop vipaji?
-kocha ambaye wakati yupo u23 ndio kikosi bora kabisa cha watoto miaka ya karibuni kikatoka kuanzia pogba, lingard, drinkwater, king, keane etc
-kocha aliembadili fred toka flop mpaka sasa ni fan favourite
-martial na rashford wote wapo kwenye form of their lives
-kocha alimtoa Haaland jalalani na watu kibao kumtabiria kakosea mpaka leo tunamuona super star
-kocha ambaye hata kabla Greenwood hatujamuona akifanya yake akasema Ni natural scorer ambaye hajawahi kumuona (anasema maneno hayo Rashford na Martial wapo kwenye form mwanzo wa ligi), na leo tunaona vision yake ilivyo accurate.
-mc tominay, wilson, james, lindelof wote wapo kwenye peak ya viwango vyao.

Wachezaji wachache sana utasema viwango vyao vimeshuka chini ya ole.
You are not serious.

Martial na Rashford what?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
So Fred out
Kama Ole atajaribu kumuweka Fred nje katika hali yoyote nitamuona kichaa zaidi.

Naona kwa sasa baada ya ujio wa Bruno nafasi ya kiungo itakuwa na changamoto sana watakapopona Scott na Pogba. Maana hata huyo Mata siku hizi naona anacheza sana na anachangamsha sana timu sasa sijui ndio anaidai namba 10 yake.
 
Not good result, not bad result

Kwa kuangalia midfield iliyocheza, bado naona tumepata matokeo sio mabaya sana

Hayupo Matic, hayupo Tominay, hayupo Pogba. Hao wangekuwepo probably leo Pereira ambaye amecheza chini ya kiwango asingeanza. Nina uhakika tungefanya vizuri zaidi

Leo na siku zote tunazocheza na timu ambazo on paper tunazizidi huwa hatufanyi transition ya haraka ya mashambulizi pindi tunaponyang'anya adui mpira. Na hii ni style isiyomsaidia James kabisa

Martial amejitahidi kupambana lakini mipira mingi aliyopokea alikuwa akilipa mgongo goli la adui hivyo imekuwa ni ngumu sana kufanya jambo lolote

Bruno Fernandes, ambaye amefanya mazoezi jana tu na wenzake amecheza vizuri, sio sana lakini vizuri. Amepiga mashuti golini jambo ambalo tumekuwa tukishindwa kulifanya kwa mechi zetu nyingi. Pia amekuwa akijaribu kupitisha pasi (penetration pass). Kwenye kusaidia ulinzi ametimiza majukumu yake ipasavyo, not a bad debut.

Maguire solid as usual, Lindelof amecheza vizuri, Degea hakuwa bize sana lakini ametimiza majukumu yake, clean sheet kwenye mechi ya pili mfululizo. Inaonesha tunaizidi kuboreka kwenye ulinzi.

Wan Bissaka going forward bado sana, Wan Bissaka akiwa na mpira muda wowote anakosea. Wan Bissaka akikaba huwezi kuwa na wasiwasi. Wan Bissaka ana kazi ya kufanya

Waliobaki wamecheza vizuri. Sijui OGS aliwaza nini kumtoa Pereira na kuingiza Dalot wakati tunatafuta goli, nilidhani atamtoa Bissaka. Kwa mtazamo wangu sub ya Greenwood ilipaswa kuwa ya mapema zaidi, labda dakika ya 70, labda baada tu ya Adama kutoka

Twende kwenye mapumziko ya wiki 2 tukawatazame akina Lukaku wakifanya yao . Wiki mbili bila EPL ni nyingi sana.

Next stop, Stamford Bridge kwa wateja wetu. Ni matumaini Scot, Kirusi na Matic watakuwa wapo tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unamwelewa pogba na umuhimu wake.... Wacha kumponda sasa
 
Kama Ole atajaribu kumuweka Fred nje katika hali yoyote nitamuona kichaa zaidi.

Naona kwa sasa baada ya ujio wa Bruno nafasi ya kiungo itakuwa na changamoto sana watakapopona Scott na Pogba. Maana hata huyo Mata siku hizi naona anacheza sana na anachangamsha sana timu sasa sijui ndio anaidai namba 10 yake.
Hata mashabiki hamfahamu nan atakaa benchi...
Forward ingekuwa hivi at least mngekuwa mbali mbali kidogo
 
Pamoja na kupangwa nafasi ambayo hajawahi kucheza? Au hujaona Bruno amecheza kama DM leo mkuu baada ya Pereira kuwa takataka katika hilo eneo?
bruno sio no 10, sometime anacheza ila sio natural pale, anashine sana kwenye 3 man midfield, akiwa deep attributes zake ndio zinashine zaidi, fikiria kama Herrera mzuri zaidi.
 
Bruno tumepigwa bhana kwa kiasi alichonunuliwa mechi yake ya kwanza alipaswa awe na Ratings za juu sana
TUMEPIGWA
Ratings hizi?

Bruno Fernandes' Premier League debut for Man Utd against Wolves: 111 touches, 88 passes, attempted, 70 passes attempted in opp. half, 6 recoveries, 5 shots, 3 shots on target, 3 clearances, 2 tackles won, 2 fouls won

Weakness yake leo ni kwamba amechoka mapema, na hili linaeleweka ata improve kidogo kidogo, ila kwa mchezaji ambaye hata kutrain nawenzake vizuri bado amejitahidi sana.
 
Kaka Sisi wabongo kwa story za vibanda umiza tuko vizuri, mtu anakwambia tumepigwa imagine hizo ratings za mchezaji aliye train na wenzie siku 1 na straight kaanza na kacheza zote 90.. duh
Ratings hizi?

Bruno Fernandes' Premier League debut for Man Utd against Wolves: 111 touches, 88 passes, attempted, 70 passes attempted in opp. half, 6 recoveries, 5 shots, 3 shots on target, 3 clearances, 2 tackles won, 2 fouls won

Weakness yake leo ni kwamba amechoka mapema, na hili linaeleweka ata improve kidogo kidogo, ila kwa mchezaji ambaye hata kutrain nawenzake vizuri bado amejitahidi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom