mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 898
- 1,764
Watacheza wote viungo watatu
Najiuliza akirudi Pogba na Scott ni yupi atakaa nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watacheza wote viungo watatu
Najiuliza akirudi Pogba na Scott ni yupi atakaa nje.
Ha ha ha ha hii timu haina consistency so naogopa kutoa jibu. Na miongoni mwa dalili za kocha ambae ni average ni timu kutokuwa na uhakika wa ushindi na performance inayopanda na kushuka. Ila kifupi naweza sema Fred kuna improvement Kubwa kaonyesha hadi sasa. Rashford siwezi msifu mana anapoteza nafasi nyingi ndipo anafungaKipaji cha fred na rashford vipi? havijapanda kipindi cha sosha.
Wachezaji wapo kwenye form ila timu haina uhakika wa kushinda au siyo!? Ngoja tumcheki Bruno fundiUpo serious kabisa hayo maneno?
-Kocha ambaye yupo responsible kwa trio ya Rooney/tevez/Ronaldo hajui kudevelop vipaji?
-kocha ambaye wakati yupo u23 ndio kikosi bora kabisa cha watoto miaka ya karibuni kikatoka kuanzia pogba, lingard, drinkwater, king, keane etc
-kocha aliembadili fred toka flop mpaka sasa ni fan favourite
-martial na rashford wote wapo kwenye form of their lives
-kocha alimtoa Haaland jalalani na watu kibao kumtabiria kakosea mpaka leo tunamuona super star
-kocha ambaye hata kabla Greenwood hatujamuona akifanya yake akasema Ni natural scorer ambaye hajawahi kumuona (anasema maneno hayo Rashford na Martial wapo kwenye form mwanzo wa ligi), na leo tunaona vision yake ilivyo accurate.
-mc tominay, wilson, james, lindelof wote wapo kwenye peak ya viwango vyao.
Wachezaji wachache sana utasema viwango vyao vimeshuka chini ya ole.
68, 58 ni maadhimisho ya wachezaji wa man U waliokufa ajali ya ndege ya munich watu watasimama na kupiga makofi tu.Leo ntaona kama wazungu ni wanafiki na huwa wanapindapinda au wananyooka. Waliahidi kutoka uwanja itapotimia dakika ya 58. Hata kama hawatatoka wote natarajia kuona baadhi yao wakitoka






kweli kizuri kula na wenzako.
Unawananga washabiki wa United walevi wakati wewe huwezi ingia JF bila kula bange kwanza upate ganzi maana chelsick ni pasua kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye fan page ya Man U washabiki waliahidi kwamba katika maazimisho hayo watapeleka hisia zao kwa bodi ya timu kwa kutoka nje ya uwanja ifikapo dakika ya 58 inayowakilisha tukio hilo68, 58 ni maadhimisho ya wachezaji wa man U waliokufa ajali ya ndege ya munich watu watasimama na kupiga makofi tu.
Asee kweli improvement, hadi wewe umemkubali Martial leo!?Martial itakuwa week hii mazoezini ametukanwa sana..naona angalao leo anajishughulisha. Au ni ujio wa Ighalo unampa pressure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hawajatoka?Kwenye fan page ya Man U washabiki waliahidi kwamba katika maazimisho hayo watapeleka hisia zao kwa bodi ya timu kwa kutoka nje ya uwanja ifikapo dakika ya 58 inayowakilisha tukio hilo






