Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

#mufc are said to be preparing a £20m offer for Fenerbahce striker Vedat Muriqi before Friday's transfer deadline. #muzone [Yeni Safak via men]

#TeTesi
IMG-20200130-WA0021.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Sijaona akimkaripia Lingard ila niliona alipotolewa OGS alimkumbatia kwa bashasha na akionekana dhahiri akimwagia sifa tele kwa mpira alioupiga jana(tafuta clip alipofanyiwa sub)
2. Naona OGS amegundua ujinga wa huyo bishoo mvivu asiyetaka kuvunjika pua. Mipira yote ya juu inapigwa hasumbuki hata kuruka kichwa kum-disturb beki. Anamuacha Otamendi anaruka peke yake (Sijawahi kuona forward mjinga kiasi hiki.)
Jana nimefurahi kumuona OGS akimkalipia Lingard, sasa nafikiri kafaham dogo kilaza

Fred the red anakiwasha kila game, haijarishi iwe kubwa au ndogo, nimatumaini kurejea kwa Pogba + Scot na ujio wa fundi wa mpira Bruno pale kati kitachafuka kwel kwel

Pia nimefurahi jana OGS kasema anataiji striker ambaye yupo teyar avunjike pua ili ashinde goli (nafikir kamchoka brazamen Martial asiyetaka kuchafuka)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKUU LEO NIMEFURAHI SANA SANA UMEONA HII KITU
Martial hawezi kutupeleka popote..hata tu-battle na mabeki mipira ya juu hafanyi,anafanya tu kuangalia..shenzi sana huyu jamaa..tusajili mchezaji anayeweza kufunga magoli kutoka kwenye kila angle(Header,tap in, Far shooting,battling n.k)

Kuna watu wanamlinganisha na Firminho anavyocheza false 9..aisee Firminho ni mtu mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. lukaku mwezi wa tatu amerequest kuondoka mwenyewe, hii ni kauli yake

“Solskjaer has my eternal respect. He understood me when I said in March that it was time for me to leave.


“I have been in the Premier League as an 18-year-old boy and now I am 26.


“Solskjaer wanted to keep me, but I was ready for something new.”

hivyo ole hakutaka kumuuza na alikuwa anambembeleza abaki, kama unavyomuona Rashford anatokea pembeni ila anafunga sana magoli ndio Ole alivyokuwa anamuona Lukaku atokee kulia na kufunga (timu ya taifa Lukaku pia anatokea pembeni).
hivyo hizo stori za ole ndio amemuondoa Lukaku ni chai tu za kijiweni.

2. martial ndio fundi wetu kwenye attacking yeye ndio anaunganisha timu, nikukumbushe tu alivyoumia hatujafunga zaidi ya goli 1 mechi zote ushahidi wa matokeo huu
View attachment 1340090

hii ni stats ya toka december ila itakusaidia kidogo record ya man utd na martial na bila martial
With Martial starting
Played: 15
Won: 11
Lost: 3
Drawn: 1
Goals for: 33
Goals against: 15
Points per game: 2.26
Win rate: 73.3%
Loss rate: 20%
Goals per game: 2.2
Goals against per game: 1

Without Martial starting:
Played: 18
Won: 5
Lost: 6
Drawn: 7
Goals for: 19
Goals against: 22
Points per game: 1.16
Win rate: 27.8%
Loss rate: 38.9%
Goals per game: 1.05
Goals against per game: 1.22

tungecheza mechi zote bila martial sasa hivi tungekuwa tunashindana na Aston villa kwenye kushuka daraja, na tungecheza mechi zote na martial sasa hivi tungekuwa nafasi ya pili tumetulia

kama unavyomuona firmino pale liverpool yeye ndie anaewafanya mane na salah wawe na viwango vikubwa kuliko uwezo wao, kuna movement zinafanya kwenye 4-3-3 ambayo striker anatakiwa acheze kama false 9 ili magoli mengi yatoke kwa watu wa pembeni.
Halafu kitu kingine, Lukaku mwenyewe hivi majuzi kasema, alifikiria kuondoka Man u siku alipocheza mechi pili toka anasajiriwa.

Sent using simu mbovu
 
Martial hawezi kutupeleka popote..hata tu-battle na mabeki mipira ya juu hafanyi,anafanya tu kuangalia..shenzi sana huyu jamaa..tusajili mchezaji anayeweza kufunga magoli kutoka kwenye kila angle(Header,tap in, Far shooting,battling n.k)

Kuna watu wanamlinganisha na Firminho anavyocheza false 9..aisee Firminho ni mtu mwingine
Uko sahihi,

Ila nazani jamaa hapo juu(na wengine) hakulinganisha uwezo au output ya Martial na Firminho .
Bali alikuwa anaeleza jinsi ambavyo Firminho ni mhimili wa shambulizi za Liverpool.
Ndivyo ambayo Martial amekuwa akitengenezwa(bado hajafikia firminho anavyocheza) kuwa mhimili wa shambulizi za United.

Sent using simu mbovu
 
1. Sijaona akimkaripia Lingard ila niliona alipotolewa OGS alimkumbatia kwa bashasha na akionekana dhahiri akimwagia sifa tele kwa mpira alioupiga jana(tafuta clip alipofanyiwa sub)
2. Naona OGS amegundua ujinga wa huyo bishoo mvivu asiyetaka kuvunjika pua. Mipira yote ya juu inapigwa hasumbuki hata kuruka kichwa kum-disturb beki. Anamuacha Otamendi anaruka peke yake (Sijawahi kuona forward mjinga kiasi hiki.)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kufanyiwa sub,lingard alipoteza mpira na ole alimfokea,na huko kumkumbatia ilikuwa ni kumpooza tu..
 
Halafu kitu kingine, Lukaku mwenyewe hivi majuzi kasema, alifikiria kuondoka Man u siku alipocheza mechi pili toka anasajiriwa.

Sent using simu mbovu
Watu hawafahamu umuhimu wa kuwa na wachezaji wanaoheshimu jezi, Mc tominay kipaji chake kidogo sana lakini anajua umuhimu wa kuvaa ile jezi.

Madongo anatupiwa ole lakini hio ni mentality ya mchezaji tayari. Na kazi kubwa tunayoifanya sasa hivi ni cultural reboot, toa mercenary wote waje vijana wenye njaa ya mafanikio ambao watapambana dakika zote 90.
 
Nilipigwa ban lkn is all okay.

Sadism kwa aliyenisemea was part of it.

Back to the point. Sisi wanaotubatiza majina mabaya, tunamvuto all days al the time. BF akipewa namba saba.

Anaweza akawa main Man ikitokea akawa na kismati, mvuto, nyota nk wote waliivaa namba 7 walikuwa hivyo
 
Back
Top Bottom