1. lukaku mwezi wa tatu amerequest kuondoka mwenyewe, hii ni kauli yake
“Solskjaer has my eternal respect. He understood me when I said in March that it was time for me to leave.
“I have been in the Premier League as an 18-year-old boy and now I am 26.
“Solskjaer wanted to keep me, but I was ready for something new.”
hivyo ole hakutaka kumuuza na alikuwa anambembeleza abaki, kama unavyomuona Rashford anatokea pembeni ila anafunga sana magoli ndio Ole alivyokuwa anamuona Lukaku atokee kulia na kufunga (timu ya taifa Lukaku pia anatokea pembeni).
hivyo hizo stori za ole ndio amemuondoa Lukaku ni chai tu za kijiweni.
2. martial ndio fundi wetu kwenye attacking yeye ndio anaunganisha timu, nikukumbushe tu alivyoumia hatujafunga zaidi ya goli 1 mechi zote ushahidi wa matokeo huu
View attachment 1340090
hii ni stats ya toka december ila itakusaidia kidogo record ya man utd na martial na bila martial
With Martial starting
Played: 15
Won: 11
Lost: 3
Drawn: 1
Goals for: 33
Goals against: 15
Points per game: 2.26
Win rate: 73.3%
Loss rate: 20%
Goals per game: 2.2
Goals against per game: 1
Without Martial starting:
Played: 18
Won: 5
Lost: 6
Drawn: 7
Goals for: 19
Goals against: 22
Points per game: 1.16
Win rate: 27.8%
Loss rate: 38.9%
Goals per game: 1.05
Goals against per game: 1.22
tungecheza mechi zote bila martial sasa hivi tungekuwa tunashindana na Aston villa kwenye kushuka daraja, na tungecheza mechi zote na martial sasa hivi tungekuwa nafasi ya pili tumetulia
kama unavyomuona firmino pale liverpool yeye ndie anaewafanya mane na salah wawe na viwango vikubwa kuliko uwezo wao, kuna movement zinafanya kwenye 4-3-3 ambayo striker anatakiwa acheze kama false 9 ili magoli mengi yatoke kwa watu wa pembeni.