Nyambiza jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,033
- 1,852
Mashabiki tumechoshwa na mwenendo wa ED WOODWARD wenzetu waliopo karibu nae wavamia nyumbani kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa sisi tutafanye mkuu?, hakuna namna. Huku hakuna tawi la Manchester United kama la mti pesa. Acha wao wawakilishe hasira za wengi..Mashabiki tumechoshwa na mwenendo wa ED WOODWARD wenzetu waliopo karibu nae wavamia nyumbani kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaweza kukusanyika sehemu ya wazi kwa wingi na jezi zetu uchwara kisha tukazivua na kuzipiga moto kiroho mbaya..video lazima iende viral,na itaongeza pressureSasa sisi tutafanye mkuu?, hakuna namna. Huku hakuna tawi la Manchester United kama la mti pesa. Acha wao wawakilishe hasira za wengi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwajui glazzer wewe na man U sio club yao ya kwanza, hata timu ikitaka kushuka daraja as long as mshiko unaingia kwao haina neno, uwanjani wenyewe kuwaona ni kazi, hawajali hayo ya uwanjani wanajali tu stock market.Labda tushinde njaa mkuu. Tunatakiwa tupigwe hata mkono Leo ili akili za hao stupid Americans zikae sawa.
Hizi ni mambo zenu za Arsenal man U hawana Tabia hii, sijawahi ona mshabiki wa Man U anaempenda huyo Ed hali ya kuwa anaijua Historia ya Club.Game ya Wolvers mtashinda na game ya City mtashinda then mtasema wenyewe OGS & Eddy IN baada ya hapo ni msoto mkali....
Nyumbu ni NYUMBU tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa tusubiri mkuu.sanchez bado ana mkataba na manchester united, kama inter milan na timu nyenginezo hazijavutiwa na huduma yake basi atalazimika kurudi klabuni msimu ujao.
ngoja tuone huenda big boss akamgeuza alex sanchez na kuwa alex cantona
Tunaweza kukusanyika sehemu ya wazi kwa wingi na jezi zetu uchwara kisha tukazivua na kuzipiga moto kiroho mbaya..video lazima iende viral,na itaongeza pressure
#Wazo mfu


imwagike ubingwa Urudi alaaah 




Mkusanyiko bila kibali kutoka jeshi la polisi ni kinyume cha sheria. Mtakamatwa na polisi mdumbukizwe kwenye tank la gari la maji ya kuwasha.
Ombeni kibali kwanza.
Sent using Cash Money Wings







nilimisi Advice zako