Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,506
Na unam rank PP kama mfia timu?
Lukaku alicheza kwa ajili ya timu kuliko Mr. attention Pogba anavyojitolea kwenye timu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lukaku alicheza kwa ajili ya timu kuliko Mr. attention Pogba anavyojitolea kwenye timu
Watu hawafahamu umuhimu wa kuwa na wachezaji wanaoheshimu jezi, Mc tominay kipaji chake kidogo sana lakini anajua umuhimu wa kuvaa ile jezi.
Madongo anatupiwa ole lakini hio ni mentality ya mchezaji tayari. Na kazi kubwa tunayoifanya sasa hivi ni cultural reboot, toa mercenary wote waje vijana wenye njaa ya mafanikio ambao watapambana dakika zote 90.
Sent using Jamii Forums mobile app