popie
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 801
- 577
Kwa kiwango alichokionyesha Jesse lingard hakuna sababu ya kusajili Bruno
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ukudaKwa kiwango alichokionyesha Jesse lingard hakuna sababu ya kusajili Bruno
Sent using Jamii Forums mobile app
Ole anaweza asisajili vilevile.Lazima tukubali kuwa;
✓Uongozi na makocha wametufikisha hapa kwa kuwa hakukuwepo na plan za kueleweka..Tumeishia kusajili sajili hovyo tu
✓Uwezo wa Ole ni mdogo na ukiongeza na wachezaji waliopo United kwa sasa basi ndo balaa tupu..Kikosi tulichonacho ni matokeo ya kazi ya bodi na kocha..
-Lukaku kaondoka,no replacement
-No proper Right winger for Years now
-Smalling kaenda on loan huku Jones akiendelea kutamba
✓Tunachotakiwa kuelewa ni kuwa hamna kocha anayejielewa ambaye atakiamini hiki kikosi tilichonacho kwa sasa..Lazima tu atataka wachezaji..Let's keep Ole's problems aside
✓Kutokumsajili Bruno Fernandez pia sio suluhisho la matatizo yetu..ni bora aje tupambane tuingie hata Top four,Summer transfer tuweze kuattract hata wachezaji wazuri kiasi..Otherwise watu waanze tu kampeni za Ole out mapema kabisa
Ni simple mathematics kuelewa kuwa Ole alikuwa anaamini kuwa Rashford,Martial,James Greenwood na Lingard watampa matokeo mazuri,kitu ambacho hakijatokea kwa sababu mbalimbali(Uwezo wao,Uwezo wa mwalimu,kukosekana viungo bora n.k)..Hata hao makocha wakubwa kuna muda wanaamini vikosi vyao lakini baada ya msimu kuchanganya wanaona walikosea na kuna haja ya kusajili kutokana na perfomance ya timu..Ole anaweza asisajili vilevile.
Msimu huu ulipoanza alisema hatasajili kwasababu ameridhika na timu aliyonayo.
Bruno anaweza asije kwasababu Ole ameridhika na timu alionayo.
Tutakutana hapa summer transfer window. Utaanza kulaumu kwanini Ole hasajili.
Sent using Jamii Forums mobile app


Manchester united has scored more goals (6) in one match than Haaland has ever score since joining Dortmund (5).Erling Braut Haaland has scored more league goals than Manchester United in 2020 (5-4). Haaland has played 57 minutes. United have played 360.
Ahh inauma lakini yanaukweli ndani yake
I can bet that.Ni simple mathematics kuelewa kuwa Ole alikuwa anaamini kuwa Rashford,Martial,James Greenwood na Lingard watampa matokeo mazuri,kitu ambacho hakijatokea kwa sababu mbalimbali(Uwezo wao,Uwezo wa mwalimu,kukosekana viungo bora n.k)..Hata hao makocha wakubwa kuna muda wanaamini vikosi vyao lakini baada ya msimu kuchanganya wanaona walikosea na kuna haja ya kusajili kutokana na perfomance ya timu..
Ole lazima atasajili tu kama atabaki hadi next transfer window..iwe ni kwa ajili ya kuwanyamazisha mashabiki au kwa mipango yake,lazima afanye hivyo..
Bruno tupa kule...Kwa kiwango alichokionyesha Jesse lingard hakuna sababu ya kusajili Bruno
Sent using Jamii Forums mobile app
Tetesi FCPaulo Dybala admits he was close to leaving Juventus in the summer amid interest from Manchester United and Tottenham.
Chanzo:Sky SportsView attachment 1335355
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi najiulizaga hivi nani kampa ainoe England?Tetesi zinasema ikitokea ole katimuliwa basi southgate atapewa timu. Huyu kocha hana lolote pia kama kina ole tu
Halafu wamefunga magoli jana.
Bora hii timu ituuzie uwanja huu tuwe tunautumia kwa ajili ya ligi ya Aepl na michuano mingine, yaani japp hata Dortmund hawatoki![]()
Jamaa leo anatamani mpira usiishe.
Unampeleka shem hotelin halafu mechi mbovu.Pitch moja ya hovyo sana..
3_4_3 kitu kikali nimekikubaliHuu mfumo uko poah shida ni nini kocha anauacha.
Romeo yuko poa cleansheet daily si aje awekwe EPL bana.
Kocha wa RB Leipzig anaitwa Julian Nagelsmann, jamaa ana miaka 32 tu kudadeki.Kuna makocha wapo wapo wanaotumia vijana kuleta mabadiliko.
Wa Ajax
Diego Simeone
Yule Wa Rb Leipzig