Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Asante kwa angalizo
Naomba niwakumbushe kuwa tunaongoza 5 - 0 kwenye Uwanja mbovu kuliko hata Manungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niwakumbushe kuwa tunaongoza 5 - 0 kwenye Uwanja mbovu kuliko hata Manungu
Naomba niwakumbushe wanaodhan man u Leo anashinda kirahis ,na wamebeti , huo uwanja anaoutembelea man u Leo ni sawa na manungu turiani wa mtibwa , Watford kalambwa hapo hapo wanabak wanalalamika ,uwanja ni mbovu , wenyeji wanaujulia , hivo natoa angalizo mapema,View attachment 1335554
Sent using Jamii Forums mobile app
