GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Mambo yanajirudia tuu.
Hii timu hata wakifukuza makocha kumi, bado hakuna kitakachobadilika uwanjani, unless ,
1. Glazers na ed woodworm waamue kuinvest kwenye mpira wa kisasa kwa kutumia fedha na akili.
2 . au timu ipate mmiliki mpya mwenye nia sawa mashabiki.
3. Labda tupate SAF au MB mwingine.
Sent using simu mbovu
Hii timu hata wakifukuza makocha kumi, bado hakuna kitakachobadilika uwanjani, unless ,
1. Glazers na ed woodworm waamue kuinvest kwenye mpira wa kisasa kwa kutumia fedha na akili.
2 . au timu ipate mmiliki mpya mwenye nia sawa mashabiki.
3. Labda tupate SAF au MB mwingine.
Sent using simu mbovu
