Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,026
Loh!Acha kuongea sana basi Mkuu maana hii mipira mnaweza kuongea kwa lugha tofauti mwanzoni afu baadye mkaja kuongea kwa lugha 1 mambo yakija kubadilika mbeleni.

Loh!Acha kuongea sana basi Mkuu maana hii mipira mnaweza kuongea kwa lugha tofauti mwanzoni afu baadye mkaja kuongea kwa lugha 1 mambo yakija kubadilika mbeleni.

Hata Mou naye alianza hiv hiv! Badaye midomo ikainuka. Eken akiba ya maneno

Ila mimi naye sijui Ole alinipa nini kipindi kile.Safi sana OG, kocha avae hata suti siyo muda wote Mourinho yuko kwenye manguo ya ajabu kama mkazi wa Goma.
Hata sisi uku bongo iyo siku ikifika tu dakika ya 58,wote tutasimama na kutoka nje kwenye vibanda umiza vyetu!!
DaahItakuwa safi sana.Mashabaki wameplan kufanya protest siku ya mechi na wolves hiyo tarehe moja february. Wameamua kuwa ikifika dakika ya 58 Wataamka na kutoka uwanjani. Fans are tired of woodward and the Glazers
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona unakuwa na hype ya Bruno kuja ilihali hakuna kocha?Bruno hatakuwepo kwenye match day squad ya Sporting CP jumatatu, kwa asilimia kubwa tutamsajili
Lakini, chini ya Ole hamna cha maana tutakacho improve
Hivi kumfunga Burnley unahitaji uwe na BF? Hivi kucheza mpira unaoeleweka unahitaji usajili mkuuuubwa kiivyo hii January?
On paper ni Wachezaji wangapi wanaingia first 11 yetu kutoka Sheffield United, lakini mbona mpira wa Sheffield unaeleweka kuliko wetu, Ukiangalia mpira wetu unategemea individual brilliance kuliko team brilliance
OGS anajificha kwenye kichaka kinachoitwa rebuild, patience, United way
Hivi Rodgers mbona alihitaji mwezi 1 tu, kubadili uchezaji wa Leicester........ Ole anaomba miaka 4 kama Klop, laughable
Sent using Jamii Forums mobile app
Ander Herrera? Lukaku?duh! kumbe mjomba ole gunnar ameshasafisha wengi sana klabuni kwetu, huyu jamaa anastahili kupewa muda mrefu wa kujenga timu.
what next?
- antonio valencia
- Marouane fellaini
- Ander Herrera
- Matteo darmian
- romelu lukaku
- Ashley young
- Alex Sanchez
- Chris smalling
Just imagine.Mkuu Daemusin,naunga mkono hoja yako kulingana na target za Ole tangu amekuja OT.
Kwanza kabisa sajili zake 3 za mwanzo alisajili damu za malkia ingawa kwa kipindi hicho kulikuwa na option bora zaidi ya hizo. Maguire dhidi ya Koulibaly,James dhidi ya Ziyech. Kulikuwa na ushaidi mkubwa kuwa chaguzi mbili zilizoachwa ndio zilikuwa/ni bora kuliko tulioletewa. Utetezi wa Ole ukawa ni kutafuta DNA ya united.
Pili hata targets tunazohusishwa nazo hadi leo hii zimekuwa na asili ya uingereza kama vile Sancho, Madison, Grealish. Eriksen amekuwa sokoni kwa bei ndogo kabisa na ni mara mia ya lingard,ila kama ole hajamuona walau kumtumia kwa miezi iliyobaki tu.
Nina imani Ole anatafuta kupendwa na waingereza kwa kulundika waingereza wengi kwenye timu bila kuzingatia ubora.
Kwenye media amekuwa optimistic kuwa wana improve wakati kila mtu anaona mapungufu ya waziwazi kwa kila mchezo tunaocheza.
Samahani lakini kama hii habari ni ya ukweli mkuu Financial Analyst ,ni kwanini wamechagua dakika ya 58?Mashabaki wameplan kufanya protest siku ya mechi na wolves hiyo tarehe moja february. Wameamua kuwa ikifika dakika ya 58 Wataamka na kutoka uwanjani. Fans are tired of woodward and the Glazers
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi uku bongo iyo siku ikifika tu dakika ya 58,wote tutasimama na kutoka nje kwenye vibanda umiza vyetu!!






Ndiyo level yenu sasahivi...Pia Islam Sliman aliyeshindwa kutoboa Leicester na kupelekwa kwa mkopo france
Itafika muda mtazoea tu...Ila tusijilaumu sana kumkosa Haaland na hata Bruno asipokuja sawa tu mana hakuna haja ya kuwaleta talented players ilihali uwezo Wa kutumia na kuendeleza vipaji vyao hatuna. Kocha aliyepo hana uwezo Wa kutumia vema na kuendeleza kipaji cha mchezaji. Bodi imejaa mijitu ya hovyo ambayo haijali maendeleo ya timu ndio mana inaona ni sawa tu kuendelea kuwa na mwalimu Wa bei ndogo asiyejua kufundisha mpira na kufanya sajili za kisengesenge.
Dak ya 58,hii inatokana na ile ajari ya ndege kule Muninch iliyotokea tarehe 6 feb 1958Samahani lakini kama hii habari ni ya ukweli mkuu Financial Analyst ,ni kwanini wamechagua dakika ya 58?
Afadhali wewe umelitambua hilo mapema...OGS won't be sacked soon, mark my words.We will have him for the next 2 or 3 seasons yet no better performance will be shown.
Tutalalamika na tutaizoea hali hii. We ain't a decent club anymore.