Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bruno hatakuwepo kwenye match day squad ya Sporting CP jumatatu, kwa asilimia kubwa tutamsajili

Lakini, chini ya Ole hamna cha maana tutakacho improve

Hivi kumfunga Burnley unahitaji uwe na BF? Hivi kucheza mpira unaoeleweka unahitaji usajili mkuuuubwa kiivyo hii January?

On paper ni Wachezaji wangapi wanaingia first 11 yetu kutoka Sheffield United, lakini mbona mpira wa Sheffield unaeleweka kuliko wetu, Ukiangalia mpira wetu unategemea individual brilliance kuliko team brilliance

OGS anajificha kwenye kichaka kinachoitwa rebuild, patience, United way

Hivi Rodgers mbona alihitaji mwezi 1 tu, kubadili uchezaji wa Leicester........ Ole anaomba miaka 4 kama Klop, laughable
5days left to close january window
Hakuna dalili ya bruno, it means kina woodward pengine wameona Ole si mtu sahihi kuleta hitaji lake wakat wanamfukuza muda wowote

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duh! kumbe mjomba ole gunnar ameshasafisha wengi sana klabuni kwetu, huyu jamaa anastahili kupewa muda mrefu wa kujenga timu.

  1. antonio valencia
  2. Marouane fellaini
  3. Ander Herrera
  4. Matteo darmian
  5. romelu lukaku
  6. Ashley young
  7. Alex Sanchez
  8. Chris smalling
what next?
 
Bila kuongeza nguvu eneo la kiungo na ushambuliaji hata aje kocha gani Man u hatukanyagi TOP 4.
... Hatuna 9 wa kuaminika wala 10 wa maana, Rashford amejitahidi sana kuficha madhaifu ya timu yake lkn bado kocha hana plan yoyote wakati hana Messi wa Cr7 wa kufanya maajabu.
Na kama atasajili kwa siku hz 5 zilizobaki then kocha abaki yeye bado tutasimamia nafasi ya 7-10.
 
pia inawezekana bruno fernandez si chaguo la ole gunnar solskjaer.
mawazo yetu tunapaswa tuyaelekeze pande zote mbili za shilingi (impossibility and certainty)

hivi ole alishawahi kuongea jambo kwa lugha ya mafumbo ya kwamba anamuhitaji kiungo aina ya bruno, haiwezekani madirisha mawili tunavumishiwa kumhitaji mchezaji mmoja na tunashindwa kumsajili.

jose alipohitaji kiungo mkabaji aliongea hadharani (akaletewa nemanja matic)
jose alipohitaji mshambuliaji wa kuziba nafasi ya rooney aliongea (akaletewa lukaku baada ya kufeli dili la morata)
jose alipohitaji kiungo wa pembeni aliongea japokuwa hakuletewa aliyemuhitaji (ivan perisic)
jose alipohitaji mlinzi mwengine wa kati na wachezaji wengine wawili hakuletewa na mgogoro ndipo ulipoanzia (eneo la ulinzi chaguo lake ilikuwa ni toby alderweireld au harry maguire)
View attachment 1334064
Mkuu Daemusin,naunga mkono hoja yako kulingana na target za Ole tangu amekuja OT.
Kwanza kabisa sajili zake 3 za mwanzo alisajili damu za malkia ingawa kwa kipindi hicho kulikuwa na option bora zaidi ya hizo. Maguire dhidi ya Koulibaly,James dhidi ya Ziyech. Kulikuwa na ushaidi mkubwa kuwa chaguzi mbili zilizoachwa ndio zilikuwa/ni bora kuliko tulioletewa. Utetezi wa Ole ukawa ni kutafuta DNA ya united.
Pili hata targets tunazohusishwa nazo hadi leo hii zimekuwa na asili ya uingereza kama vile Sancho, Madison, Grealish. Eriksen amekuwa sokoni kwa bei ndogo kabisa na ni mara mia ya lingard,ila kama ole hajamuona walau kumtumia kwa miezi iliyobaki tu.
Nina imani Ole anatafuta kupendwa na waingereza kwa kulundika waingereza wengi kwenye timu bila kuzingatia ubora.
Kwenye media amekuwa optimistic kuwa wana improve wakati kila mtu anaona mapungufu ya waziwazi kwa kila mchezo tunaocheza.
 
Akili zetu wapenzi Manchester United zipo sawa tu na kocha na uongozi wetu wakati wa usajili wa Haaland wote tulimlaumu sana Mino na wengine tulidiriki kusema ana uwezo wa kuchezea Manchester United ati tuna Martial Greenwood sasa tunaumbuka
SIO WOTE. Ni wewe tu na hao wenzio mliokuwa mnalaumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5days left to close january window
Hakuna dalili ya bruno, it means kina woodward pengine wameona Ole si mtu sahihi kuleta hitaji lake wakat wanamfukuza muda wowote

Sent using Jamii Forums mobile app
Pengine umeona mbali kidogo japo wakati mwingine hata kama wana malengo hayo wanapaswa kumsajili tu kwa kuangalia potential yake.
 
Makocha hawa wapuuz sana. Ninawaangalia tu.

International stricker kama lukaku unanuuzaje ubakie na floppy?

Simlaumu OGS, kosa limeanzia mbali, bodi na matajiri wanabebana na kumuachia kocha na sisi mashabiki maumivu.

Kuanzia Ferguson aondoke akaja moyes, aliuza wachezaji muhimu, lvg aliuza wachezaji muhimu, morinyo ndio **** kabisa, unawezaje kuswitch mchezaji kama Sanchez bila tahadhar, ona anavyoikost team. Ona morinyo alivyoondoka alisepa na fungu kubwa sana..

Nakumbuka nilisema Edowood ametumwa kuiua man utd. Ndio mpumbav mkubwa man utd
 
Mashabaki wameplan kufanya protest siku ya mechi na wolves hiyo tarehe moja february. Wameamua kuwa ikifika dakika ya 58 Wataamka na kutoka uwanjani. Fans are tired of woodward and the Glazers

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata sisi uku bongo iyo siku ikifika tu dakika ya 58,wote tutasimama na kutoka nje kwenye vibanda umiza vyetu!!
 
Mkuu Daemusin,naunga mkono hoja yako kulingana na target za Ole tangu amekuja OT.
Kwanza kabisa sajili zake 3 za mwanzo alisajili damu za malkia ingawa kwa kipindi hicho kulikuwa na option bora zaidi ya hizo. Maguire dhidi ya Koulibaly,James dhidi ya Ziyech. Kulikuwa na ushaidi mkubwa kuwa chaguzi mbili zilizoachwa ndio zilikuwa/ni bora kuliko tulioletewa. Utetezi wa Ole ukawa ni kutafuta DNA ya united.
Pili hata targets tunazohusishwa nazo hadi leo hii zimekuwa na asili ya uingereza kama vile Sancho, Madison, Grealish. Eriksen amekuwa sokoni kwa bei ndogo kabisa na ni mara mia ya lingard,ila kama ole hajamuona walau kumtumia kwa miezi iliyobaki tu.
Nina imani Ole anatafuta kupendwa na waingereza kwa kulundika waingereza wengi kwenye timu bila kuzingatia ubora.
Kwenye media amekuwa optimistic kuwa wana improve wakati kila mtu anaona mapungufu ya waziwazi kwa kila mchezo tunaocheza.
Manchester hata aje Messi au Ronaldo lazima watakuwa flop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom