Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu yangu sio ya kuijadili tena .imeshakua sugu na dawa yake ni kuiacha tu au kutoangalia mpira wake
Timu inatuachia wkt mgumu sana kumng'oa glazer family

Sijui tulikubaliana vipi kuwapa Hawa wase nge timu, tukiwaondoa Eduardo atatoka, ni kumma sana hutu mbwa wow wow Sana *$#&5++_sfv
 
Ila ujinga wa Waingereza ndio unatugharimu na kutuweka pabaya. Huyu Magwair alipigiwa chepuo na Waingereza wenzake (Media) akaonekana kama Cannavaro wa Kiingereza ila kumbe level moja na Jones.

James wakati anaingia alivyokuwa ni tofauti sana na sasa, AWB alikuja Man U hadi tukahisi kama tumewaibia Crystal Palace kwa namna alivyokuwa anacheza na kupanda ila kwa sasa kashakunywa damu ya wenzake naye kaanza kuonekana hakuna chochote anachojua.

Tuna wachezaji wabovu sana sijawahi kuwaona katika kipindi cha hivi karibuni pale United. Tunasubiri siku mapato ya timu yaanze kuporomoka na timu kuwa kama Everton ndipo tuone kuna umuhimu wa kupiga kelele.

Sioni hii timu ikisimama miaka ya hivi karibuni huwenda ikachukua miaka 10 kutoka sasa hadi kuja kuwa Giant pale EPL na Europe kwa ujumla.
 
Our team is going Kodak,Nokia, and Motorola way business wise, the market/fun command and financial muscles it has will soon sublime like a snap, completely diminishing all ideas/dreams the team can compete on the pich with new comer performer and neighbor City..

Utd is dead already as a English football giant...

Sent using my Audi A6 2017 model
 
Rio Ferdinand jana hiyo

Nani anayenunua wachezaji, meneja anayetaka kuwatumia sasa au klabu inayowataka kwa sasa na pia kwa siku zijazo

Nimecheza na Ole, alikuwa mchezaji mwenzangu, lakini matokeo hayaridhishi

Baadhi ya wachezaji wake muhimu ni majeruhi, lakini kwa ukubwa wa kiasi cha fedha kilichotumika, lazima utegemee zaidi ya kinachoonekana

Nimefedheheka, ni fedheha kuwa hapa

Sioni kama kuna njia mbele, sioni lengo lililowekwa na kwamba kupitia mkakati flani tutalifikia hilo lengo

Juzi GNeville karuka na bodi na Ed, jana Rio kaanza kumchokonoa Ole na bodi, mshipa wa kuoneana aibu umeanza kuwatoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unacheza na lugha tu hapo

Hata mmiliki wa timu ni mwekezaji pia na mwekezaji anaweza kumiliki timu kulinga na kiasi cha hisa alizonazo

Kwa hiyo kama Mo amewekeza zaidi 50% klabuni, basi yeye ni mmiliki automatically

CEO huwa ni mmiliki wa kampuni husika, in this case timu husika, je Mo sio CEO wa Simba
Gleazer ni wamiliki wa timu wanaweza kuiza man u kwa tajiri mwingine, mo dewji ni mwekezaji kwenye timu sio mmiliki wa simba, uwezo alionao Mo ni kuuza hisa zake na kujiondoa kama mwekezaji

Sent using Cash Money Wings

Sent using Jamii Forums mobile app
 
√Martial,James,Perreira=Trash,,Hawastahili kuwa kwenye 1st eleven ya United

√Ole gunnar naye anatembelea upepo wa vijana wadogo ili kuonewa huruma..Sasa yeye anadhani Lingard atabadilika gafla aanze kutoa assist na kufunga kama KDB??

√Wazungu nao muda mwingine ni wajinga..timu ishalala mbili bila nyie mnakaa uwanjani kufanya nini??

√Ed Woordward+Ole gunnar=Cardiac arrest pill

√Ole hana mipango kabisa anafanya tu Sub akitegemea maajabu yatokee..Eti Lingard,
Leo una mkataa martial...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom