Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,519
- 32,675
Kwani mkuu mpira umeanza kuangalia juzi Ferguson mwenyewe timu ilikuwa imisha anza kumshinda.Kocha wa ajabu sana huyu....timu yeyote ikija inamtaka mchezaji wanauziwa anabakisha vitoto na ana replace kwa kuchukua vitoto vingine.
Ferguson kwanini uli quit.. angalia matatizo Sasa tunayopata
Sent using Jamii Forums mobile app
Matokeo mabovu yalianzia kwa Ferguson ndipo alipo amua Ku quit tokea hapo man u hajawahi kuwa sawa.




