GwamahalaJR
JF-Expert Member
- Jul 18, 2019
- 414
- 769
Man inahitajika overhaul mkuu, kuanzia Ole, Edwood na management nzima. Kuanza upya sio mbaya.OGS out of depth, ukimtazama anatia huruma
Positivity pekee, tumepigwa tuone haja kusajili na kumpumzisha OGS
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha wa ajabu sana huyu....timu yeyote ikija inamtaka mchezaji wanauziwa anabakisha vitoto na ana replace kwa kuchukua vitoto vingine.Ole sio kocha wa kiwango cha kuifunza man u
Wachezaji wana pambana humo mdani lakin haajulikan wanataka nini.
Yani hali ni tete mashabiki wameondoka kabisa kabla hata dakika za mwisho hazijafika.
Ole kwanini asisajili world class striker?? Laana ya lukaku inamuandama.
Haya kati ya rojo na jones nan beki mzuri?? Anataka kumuuza rojo anamuacha jones
Managment ipo nyuma ya ole kwa sababu ole hana power ya kuiforce impe pesa za kusajiri.
Kama ningekuwa ole ningeuza perreira. Lingard. Shaw. Martial. Jones.
Ni wakati wa kumpa nafasi romeo nayeye adake goli la pili degea aliuzarau mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Thi man can't coaching Manchester United hata angekuwa na Quality Squad depth ya namna gani Ole hana Ideal hana plan yoyote ya kuibadilisha united.OGS out of depth, ukimtazama anatia huruma
Positivity pekee, tumepigwa tuone haja kusajili na kumpumzisha OGS
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyu jamaa muda wote amekunjaga sura tu cjui ana matatizo gani uyu mtu...Kuna mtu alisema huyu jamaa kazi yake ni kuchimbachimba na kukwatua nyasi tu....
Sasa nimemuelewaView attachment 1331369
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahah
tehtehteh Pole kaka ndio ukubwa mtazoea tu kama hamjazoea bado, hivi ndio tulikuwa tuki type sio zamani sana hahaha! Bonge la Beki Mnae Migwayaa!! atawasaidia mpeni Ole muda jamani baadae mtapata angalau hata DJ! aje kufundisha. YNWA!Kocha wa ajabu sana huyu....timu yeyote ikija inamtaka mchezaji wanauziwa anabakisha vitoto na ana replace kwa kuchukua vitoto vingine.
Ferguson kwanini uli quit.. angalia matatizo Sasa tunayopata
Sent using Jamii Forums mobile app
dah unataka kumfanabisha Lingaard na KDB si bora nijinyonge tu kutoa mapande ya magoli kazidiwa na Kipa wa LFC!√Martial,James,Perreira=Trash,,Hawastahili kuwa kwenye 1st eleven ya United
√Ole gunnar naye anatembelea upepo wa vijana wadogo ili kuonewa huruma..Sasa yeye anadhani Lingard atabadilika gafla aanze kutoa assist na kufunga kama KDB??
√Wazungu nao muda mwingine ni wajinga..timu ishalala mbili bila nyie mnakaa uwanjani kufanya nini??
√Ed Woordward+Ole gunnar=Cardiac arrest pill
√Ole hana mipango kabisa anafanya tu Sub akitegemea maajabu yatokee..Eti Lingard,
tehtehteh Pole kaka ndio ukubwa mtazoea tu kama hamjazoea bado, hivi ndio tulikuwa tuki type sio zamani sana hahaha! Bonge la Beki Mnae Migwayaa!! atawasaidia mpeni Ole muda jamani baadae mtapata angalau hata DJ! aje kufundisha. YNWA!
hahah usimuingize ndugu yangu Rubaman kwenye balaa lako hahaha akifikiria beki zake anaona kwanini hakuwa mchezaji mpira akalipwa pesa anazolipwa Mustafi kweli sio kumuomba Mungu tu inataka nabidii waifanya bidii kufika pale tehteh!Ebana ehe.. leo umeibuka lol, kwasababu United tumefungwa lol
Haya hongera sana naona kipofu kaona mwezi msimu huu mnanyanyua
Ngoja tutimue watu kwanza msimu ujao tule vichwa vyote
rubaman umemuona kijana anavyofurahia matatizo yetu
hahah usimuingize ndugu yangu Rubaman kwenye balaa lako hahaha akifikiria beki zake anaona kwanini hakuwa mchezaji mpira akalipwa pesa anazolipwa Mustafi kweli sio kumuomba Mungu tu inataka nabidii waifanya bidii kufika pale tehteh!