dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,957
- 8,344
mkuu haya mambo inatakiwa kuvumilia tu ndio kizazi kilichopo....... kuna watu nina uhakika hawajawahi kuzitazama game za utd vs liver wakat wa alex.......Hiyo siyo aina yangu ya ushabiki bro.
Hiyo tafsiri umeisema wewe.
matokeo yake wanatukana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
