Nyie ibilisi wekundu fans.....timu yenu nichekechea sana
Sawa ila mchezaji ni Bisaka tu.....Hata walioshinda walikuwa chekechea hawakuanzia hapo
Sawa ila mchezaji ni Bisaka tu.....
Kuna Bahati na Ubora,Hakuna timu ambayo haina Bahati ,Unataka kuniambia Last season Manchester city anachukua Treble ilikuwa ni Bahati ile au ulikuwa ni Ubora timu,Mpira ni mchezo wa makosa ukikosea una adhibiwa Ni timu gani inabahati ya kucheza mechi 22 Bila kupoteza kama sio ubora wa timu Mkuu.Sometimes kwenye Credit toa pongezi Fergie ametawala Premier league zaidi ya miaka 13 na ile ilikuwa ni Bahati.Sio mbovu zote bana manchester city ni timu nzur sana sema mpira unakwenda na bahat kuna muda bana kwa sasa liverpool bahat ipo kwenu lakin manchester city anaupiga sna kwa england
Ila leo Rashid angekuwepo angefanya kitu,Liverpool walipata kauoga baada ya kukosa sana magoli na sub kadhaa wakapoteanaHapana wachezaj wanategemeana bissaka bila striker wakufunga goli timu inakuwaje
Ila leo Rashid angekuwepo angefanya kitu,Liverpool walipata kauoga baada ya kukosa sana magoli na sub kadhaa wakapoteana
Hahahahahahaha.........Finally Salah has his goal against Manchester United Nadhani kelele zimeisha sasa.Sema had wakina salah wanakimbia wanavua mashat manchester united sio kitoto fikiria ka rashford kamefumua liverpool hakana hata mzuka wa kuvua shat
Kuna Bahati na Ubora,Hakuna timu ambayo haina Bahati ,Unataka kuniambia Last season Manchester city anachukua Treble ilikuwa ni Bahati ile au ulikuwa ni Ubora timu,Mpira ni mchezo wa makosa ukikosea una adhibiwa Ni timu gani inabahati ya kucheza mechi 22 Bila kupoteza kama sio ubora wa timu Mkuu.Sometimes kwenye Credit toa pongezi Fergie ametawala Premier league zaidi ya miaka 13 na ile ilikuwa ni Bahati.
Bahati tuTimu ya leo toka muda nilijua itakuwa dhaifu sana kufuatana na majeruhi sehemu muhimu sana sema na sisi tumeruhusu magoli ya kipumbavu sana tofout na vile mashabik wa liverpool walivyokuwa wakitamba hapa kama wataupiga mwingi mwisho wa siku bahat tu
Sema mech ambayo ilinipa kizuzungu ile ya manchester city tunakula chuma 3 kipindi cha kwanza jamaa walitunyanyasa sana liverpool kama tungekuwa na key player walah wangelimia meno vile tu ka timu kapo na shaw wanalialia tu had salah alipopata goli bahat wakapumua
Kwa nilichokiona leo wachezaj tunao shida ni mbinu za kocha tu abadilike huwez muacha mtu kama mata bench ukampanga pereira wakat mata mech mbili za mwisho kacheza vizur sana kumkosa scott na rashford pengo kubwa sana
Hahahahahahaha.........Finally Salah has his goal against Manchester United Nadhani kelele zimeisha sasa.
Bahati tu
Mane amemis chances ngapi
Salah chances ngapi
Unataka kusema Manchester United wali create chances nyingi kuliko Liverpool Mkuu,
Liverpool wame missed a lot of chances to score unasema wameshinda kwa Bahati.
Nyoko
Yaan magoal yote hayo wamekosa ya wazi ...huoni bahati ya kutofungwa mengi ilikuwa kwenuIla leo Rashid angekuwepo angefanya kitu,Liverpool walipata kauoga baada ya kukosa sana magoli na sub kadhaa wakapoteana
Sio umetuachia sema uwezo huna.tunanyanyua kwapa tu sisiTumekuachia wewe angalau ufuate nyayo, mara 19.......sisi tuna 20 wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Key player wenu Rashford amewahi japo kupata goli moja pale Anfield? McTominay anao ubavu wa kumzuia Big Virgil asipige kichwa?Timu ya leo toka muda nilijua itakuwa dhaifu sana kufuatana na majeruhi sehemu muhimu sana sema na sisi tumeruhusu magoli ya kipumbavu sana tofout na vile mashabik wa liverpool walivyokuwa wakitamba hapa kama wataupiga mwingi mwisho wa siku bahat tu
Sema mech ambayo ilinipa kizuzungu ile ya manchester city tunakula chuma 3 kipindi cha kwanza jamaa walitunyanyasa sana liverpool kama tungekuwa na key player walah wangelimia meno vile tu ka timu kapo na shaw wanalialia tu had salah alipopata goli bahat wakapumua
Kwa nilichokiona leo wachezaj tunao shida ni mbinu za kocha tu abadilike huwez muacha mtu kama mata bench ukampanga pereira wakat mata mech mbili za mwisho kacheza vizur sana kumkosa scott na rashford pengo kubwa sana