Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu hivi leo ikitokea man u ikashinda Nadhani utajisikia vibaya Sana kuliko hata washabika wa Liverpool, au wa man u ikifungwa.

Maana huwa upata furaha sana Man U ikifungwa,kuliko Chelsea ikishinda

Angalizo: Kama ikitokea usije ukafikia uamuzi wa kujinyonga tu..

Sent using my Audi A6 2017 model
Hahaha nijinyonge kisa hichi kikundi cha wanywa gongo

Haha piga mbuzi hao Man u

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huo mpira kabla haujafika kwa huyo striker inapendeza zaidi kama utaanzia kutengenezwa nyuma.
timu zote zinazocheza mfumo wa 3-5-2 zinafaidika zaidi na huduma ya wingback.
rejea juventus ya antonio conte na massimiliano allegri na hata chelsea ya conte.

hao wingback wetu umewaona brother?
muda wote wapo nyuma hata kama hawajabanwa na maadui halafu tutegemee maajabu ya antonio martial?
sometimes tunawaonea bure hawa striker wetu.
Ole OUT
Allergi IN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani tunachomis ni viungo/kiungo mbunifu wa kupiga dangerous pass kwa kina Martial, Liverpool wa kawaida sana sielewi kwann wanaongoza ligi, nafikiri Sir Alex uko alipo anaweza fikiria kurudisha majeshi vitani (natamani Sir Alex arudi japo misimu mitatu tu)
Please Woodward izinisha usajiri wa viungo wawili wabunifu tu, then ndio tuanze kumlaumu huyu OGS
Leo endapo angekuwepo Pogba, Scot na Rashfod Liverpool wasingeamini kingechotekea
Martial kule mbele ana uchu sana ila mipira nadra kumfikia, mpaka namuonea huruma

Tunaitaji viungo wanyumburifu kama Schoses, kama Super Gigs

Hivi kina Glazer na Woodward hawaoni sisi tunachoona kweli?

Hii HT Ole amtoe Luke Shaw aingie fundi Juan Mata

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna dogo pale academy anaitwa GARNER unamjua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie shangilieni kwa raha zenu, na sisi tunaongea kwa raha zetu Mkuu

Ila ukweli unabaki pale pale and you know that the team you beat is one of the weakest United team you ever play against

Sent using Jamii Forums mobile app

Timu ya leo toka muda nilijua itakuwa dhaifu sana kufuatana na majeruhi sehemu muhimu sana sema na sisi tumeruhusu magoli ya kipumbavu sana tofout na vile mashabik wa liverpool walivyokuwa wakitamba hapa kama wataupiga mwingi mwisho wa siku bahat tu

Sema mech ambayo ilinipa kizuzungu ile ya manchester city tunakula chuma 3 kipindi cha kwanza jamaa walitunyanyasa sana liverpool kama tungekuwa na key player walah wangelimia meno vile tu ka timu kapo na shaw wanalialia tu had salah alipopata goli bahat wakapumua

Kwa nilichokiona leo wachezaj tunao shida ni mbinu za kocha tu abadilike huwez muacha mtu kama mata bench ukampanga pereira wakat mata mech mbili za mwisho kacheza vizur sana kumkosa scott na rashford pengo kubwa sana
 
Angeukosa mpira angepata red card lakini alikuwa ana 50/50 chance kugusa mpira au kukosa kama angepiga tackle

Sent using Jamii Forums mobile app

Kufungwa ni kufungwa tu mkuu basi wangeshinda moja sioni ambacho kingebadilika zaidi ya kupoteza mchezaj

Rashford mgonjwa
Scott mgonjwa
Pogba mgonjwa
Na ka james kangekula umeme mech 3 hasara ingekuwa kwetu maana uwezo wa kurudisha goli haukuwepo ukiangalia kwa zile nafas alizokosa martial na andreas bora james alivyomuacha
 
hiki ni kikundi cha wahuni na wavuta bangi walioamua kujiingiza kwenye mpira.

Ambacho kimeibaka sana timu yako hadi unapata ufahamu kama ulikuwa unabakwa na kikundi cha wahuni ktk timu zote pale had championship hiki ndo kikundi kilichobaka sana timu zote yaani kinaongoza kwa kufumua timu zote pale england ukibisha njoo na takwimu uone kikundi cha wahuni kilivyo
 
Liverpool ni wa kawaida sana. Kinachosababisha waongoze ligi ni kwamba timu zingine zote ni mbovu zaidi ndiyo maana zote zimefungwa na timu ambayo ni ya kawaida.

Sio mbovu zote bana manchester city ni timu nzur sana sema mpira unakwenda na bahat kuna muda bana kwa sasa liverpool bahat ipo kwenu lakin manchester city anaupiga sna kwa england
 
Back
Top Bottom