OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hahaha nijinyonge kisa hichi kikundi cha wanywa gongoMkuu hivi leo ikitokea man u ikashinda Nadhani utajisikia vibaya Sana kuliko hata washabika wa Liverpool, au wa man u ikifungwa.
Maana huwa upata furaha sana Man U ikifungwa,kuliko Chelsea ikishinda
Angalizo: Kama ikitokea usije ukafikia uamuzi wa kujinyonga tu..
Sent using my Audi A62017 model
Haha piga mbuzi hao Man u


Sent using Jamii Forums mobile app

2017 model

