We mwenyewe hapo umeandika SAF unajua hiyo S ya kwanza ina maana gani?

SAF amechukua UCL mara 2, Klop amechukua mara ngapi?

Huyo SAF wangu alikaa almost miaka 6 bila kuchukua kombe, unajua alichukua timu ikiwa ya ngapi kwenye msimamo? Ilikuwa ya 19, na tangu hapo timu haijawahi kuyumba mpaka anaondoka.

Huyo Klop wako unajua alishaishusha Mainze daraja na hakuweza kupandisha akatimuliwa? Unajua alipokuwa anapeleka Dortmund kabla ya kutimuliwa? Unajua circle yake ya kiufundishaji? Anachukua timu > Anayumbisha timu > Anaweka Stability kwenye timu (kwa kushinda vikombe viwili vitatu) kwa miaka isiyozidi 2 > Anaanza kuishusha > Anafukuzwa

Unamfananisha Klop ambaye hana hata makombe 10 na SAF mwenye makombe 38, kati ya hayo 13 ni premier, 2 ni UCL?

Embu acha kumfananisha babu wa watu na vitu vya kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ndio huelewi hata unachoongea...... huyo babu wako vikombe vyote hivyo alivichukua akiwa utd ndani ya miaka 25....... 25 YEARS mfululizo kwenye timu moja!.....


ni upuuzi kuanza kumfananisha Klop mwenye miaka pungufu ya 5, na mtu aliekaa miaka 25, na hio cycle uliyoonesha hata babu yako angeweza kupitia kama angeondoka utd (his comfort zone)!.......…


alafu pia ni upuuzi mkubwa kuanza kulinganisha mtu aliefundisha kukiwa na timu 2 tu zenye ushindani ndani ya ligi na mtu anaefundisha kukiwa na timu 6 zenye ushindani..... hakua mjinga kuachia kiti maana alijua timu nyingi zinaanza kuwa bora!.....


lastly, usirudie tena kuleta ulinganisho wa aina hii, atleast linganisha vitu toka generation moja..... ukitaka kuleta vya zaman basi anzia na kina bob huko ndio wanafanana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mwenyewe hapo umeandika SAF unajua hiyo S ya kwanza ina maana gani?

SAF amechukua UCL mara 2, Klop amechukua mara ngapi?

Huyo SAF wangu alikaa almost miaka 6 bila kuchukua kombe, unajua alichukua timu ikiwa ya ngapi kwenye msimamo? Ilikuwa ya 19, na tangu hapo timu haijawahi kuyumba mpaka anaondoka.

Huyo Klop wako unajua alishaishusha Mainze daraja na hakuweza kupandisha akatimuliwa? Unajua alipokuwa anapeleka Dortmund kabla ya kutimuliwa? Unajua circle yake ya kiufundishaji? Anachukua timu > Anayumbisha timu > Anaweka Stability kwenye timu (kwa kushinda vikombe viwili vitatu) kwa miaka isiyozidi 2 > Anaanza kuishusha > Anafukuzwa

Unamfananisha Klop ambaye hana hata makombe 10 na SAF mwenye makombe 38, kati ya hayo 13 ni premier, 2 ni UCL?

Embu acha kumfananisha babu wa watu na vitu vya kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tupe mafanikio ya SAF kabla ya kuja man u

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man U kiukweli sasaivi haina identity yaani wanacheza cheza tu wakiwaotea wanyonge wanawapiga wakikutana na watu walio serious na wenye structure matokeo yake ndo kama yale ya jana

Jana John Barnes baada ya mechi kuisha alitoa bonge la point akasema kuwa tofauti ya Liva na Man u kwasasa ni kuwa Liverpool inanunua wachezaji ambao wanaendana na kufit kwenye system yao ndomana unaona mtu kama Gini Wijnaldum anatoka Newcastle lakini anaenda pale anashine ILA sasa upande wa pili Man U ni vice versa wao wananunua mchezaji desperately halafu wanajaribu kuitengeza timu kuizunguka huyo mchezaji kitu ambacho hutokaa ufanikiwe kamwe
 
Naona una kichwa kizito sana cha kuelewa mambo

Unaposema Klop amefundisha miaka 5 una maanisha kuwa kazi ya ukocha ameianzia pale Liverpool Uingereza? Klop carrier ya ukocha hakuanzia Liverpool, ameshashusha daraja sana timu huko Ujerumani

Nimeamini kuwa mpira umeanza kujua juzi juzi, unasema eti SAF amefundisha timu moja pekee, hakutaka kutoka kwenye comfort zone

Nimeshasema kuwa SAF wakati anachukua timu ilikuwa na hali mbaya (ilikuwa ya 19 kwenye msimamo wa ligi) sasa hiyo comfort zone unayoiongelea ni ipi? na hata baadae ilipokuwa ni comfort zone, si ni yeye ndio alifanya kuwa comfort zone. Kipindi SAF anachukua timu, ina makombe 7 tu vya Ligi Kuu Uingereza na Liverpool ana makombe 18 (ambapo mpaka leo hawajaongeza hata moja). Kabla ya SAF kuchukua kombe miaka ya 1990 United walikuwa hawajachukua kombe tangu miaka ya 1960, leo uje ufananishe na mshusha timu madaraja

Tu assume kukaa Man Utd ni comfort zone, mbona waliokuja wameshindwa kuwa comfortable kwenye hiyo comfort zone, kama yeye alivyo maintain kwa miaka yote ya Utawala wake? Muulize Moyes, LVG, Jose kama Manchester United ni comfort zone

Nimefahamu kuwa wewe umeanza kujua mpira jana, unasema eti timu ni 2 mbili ndio zilikuwa zimeshika Utawala wa uingereza, na ningekuuliza ungetaja United na Liverpool kitu ambacho sicho,kiufupi HUJUI unachoandika na ndio maana hapa nitakuelimisha kwa mara ya mwisho.

Wakati SAF anaingia kwenye game pale Uingereza kwa miaka hiyo timu zilizokuwa zinachukua sana makombe zilikuwa ni Aston Villa, Everton , Liverpool, Leeds n.k. Sasa Unaposema ni mbili zilizokuwa zimeshika ligi sijui una maana gani, maana miaka ya 1990 hadi Blackburn ilikuwa ya moto

Halafu kukaa timu moja sio weakness, ni strength kijana, unadhani kuna ma meneja wangapi wanaweza kukaa timu moja muda mrefu kiasi hicho, timu itakaa na wewe muda mrefu sio kwa sababu inapenda sura ya kocha bali delverly. SAF ame deliver miaka yote hiyo ndio maana amefundisha miaka yote hiyo

Mwisho narudia kukuelewesha kuwa, kumfananisha SAF na huyo Klop ni uchizi uliotukuka, maana hapo unaongelea mbigu na ardhi au White House na Magogoni House
wewe ndio huelewi hata unachoongea...... huyo babu wako vikombe vyote hivyo alivichukua akiwa utd ndani ya miaka 25....... 25 YEARS mfululizo kwenye timu moja!.....


ni upuuzi kuanza kumfananisha Klop mwenye miaka pungufu ya 5, na mtu aliekaa miaka 25, na hio cycle uliyoonesha hata babu yako angeweza kupitia kama angeondoka utd (his comfort zone)!.......…


alafu pia ni upuuzi mkubwa kuanza kulinganisha mtu aliefundisha kukiwa na timu 2 tu zenye ushindani ndani ya ligi na mtu anaefundisha kukiwa na timu 6 zenye ushindani..... hakua mjinga kuachia kiti maana alijua timu nyingi zinaanza kuwa bora!.....


lastly, usirudie tena kuleta ulinganisho wa aina hii, atleast linganisha vitu toka generation moja..... ukitaka kuleta vya zaman basi anzia na kina bob huko ndio wanafanana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United wanaangalia uwezekano wa kusajili striker

Baada kugundua kuwa Rashford anaweza kuwa nje kwa miezi kati ya 2 na 3, Manchester United wanaangalia uwezekano wa kusajili striker ili aje aongeze nguvu. Akiongea na vyombo vya Habari OGS amesema klabu inaangalia uwezekano wa kupata mchezaji wa nafasi hiyo kwa mkopo

Taarifa nyingine (sky&MEN) zinadai kuwa baada ya wachezaji wengi kuumbwa na majeruhi na Youngy kuondoka man United inaangalia uwezekano wa kupandisha wachezaji kutoka kwenye timu ya U23. Wachezaji wanaotajwa kuwa wanaweza kupandishwa ni Mellor (forward), Largie Ramazan (winger/forward), Ethan Laird (full back) na Hannibal Mejibri (kiungo)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Distance between Liverpool and Manchester United
IMG_20200120_164343_707.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man U kiukweli sasaivi haina identity yaani wanacheza cheza tu wakiwaotea wanyonge wanawapiga wakikutana na watu walio serious na wenye structure matokeo yake ndo kama yale ya jana

Jana John Barnes baada ya mechi kuisha alitoa bonge la point akasema kuwa tofauti ya Liva na Man u kwasasa ni kuwa Liverpool inanunua wachezaji ambao wanaendana na kufit kwenye system yao ndomana unaona mtu kama Gini Wijnaldum anatoka Newcastle lakini anaenda pale anashine ILA sasa upande wa pili Man U ni vice versa wao wananunua mchezaji desperately halafu wanajaribu kuitengeza timu kuizunguka huyo mchezaji kitu ambacho hutokaa ufanikiwe kamwe
Saasa alitaka tujenge timu kama mavuzi ya mamake? Yalivyonyolewa wkt anazaliwa. Pussy wewe.
 
Liverpool is not exceptional, hiyo nakubaliana na wewe.

Lakini we all agree kwamba ana records ambazo anaziweka sasa hivi ambazo tunaambiwa haijawahi kutokea toka EPL ianze.

Na kama ni case ya kwamba Liverpool siyo exceptional kwa ubora, basi wapinzani wako exceptional kwa ubovu.

22 games, 64 points out of 66 haijawahi kutokea kwa ligi zote 5 kubwa Ulaya. The Invincibles ambao walimaliza ligi bila kufungwa mpaka muda huu walikuwa tayari wana droo 5.

Aint that enough kusema Liverpool have been exceptional at least for this period?
Hapa ni kuwa wapinzani ni wabovu in material particular, zile timu kubwa karibia zito zinapitia kipindi cha mpito, ila wakisajili vizuri Liver inarudi kwenye nafasi yake, mimi siyo mshabiki wa Man ila kwa jana tu wangekuwa na Pogba na Rashford, mambo yangekuwa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana mechi yetu na hao kuku nimejifunza jambo moja kubwa.

TIMU PAMOJA NAKUONGOZA LEAGUE HAIJIAMINI, NA HILO SIO KWA HAWO MBWA TU, HATA TIMU ZOTE ZINA IHARA SANA MAN UTD.

GOOGGOMAN UTD. ..........

Nafikiri huelewi maana ya Derby.
Ukiachilia kwamba Man Utd na Liverpool wana history, Liverpool msimu huu pamoja na kwamba ameweka gape kubwa lakini hajiamini kwa timu yoyote ile kwa sababu anataka kushinda mechi zote.

Kwa hiyo kutoa droo inaumiza. Ndiyo maana walishangilia sana kupata 3 points kwa sababu mwanzo mlikaza.
 
Hapa ni kuwa wapinzani ni wabovu in material particular, zile timu kubwa karibia zito zinapitia kipindi cha mpito, ila wakisajili vizuri Liver inarudi kwenye nafasi yake, mimi siyo mshabiki wa Man ila kwa jana tu wangekuwa na Pogba na Rashford, mambo yangekuwa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
huyo paul pogba amecheza mechi ngapi msimu huu?

nyakati tunafungwa na crystal palace, west ham, newcastle na timu nyenginezo marcus rashford na scott mctominay pia walikuwa ni majeruhi?

kwa nini hatupendi kuongea ukweli ya kwamba liverpool wanazidi kuwa bora kadri muda unavyosogea.

kwenye mechi 22 walichocheza, liverpool wamepoteza alama 2 tu.

hicho kipindi cha mpito kitakwisha lini kwa hizo timu kubwa?

hizo timu kubwa zitakapokuwa zinajiimarisha tena kwa kufanya usajili je hao liverpool watakuwa wamefungiwa kufanya usajili?
 
Wanajidai hawakuona

Hapo lengo ni kutaka kuonesha VVD kamzidi kete Maguire

Ila hapo ndio nashindwa kuelewa wachezaji wa Man Utd wanawaza nini

Of all people, Williams ndio kakabidhiwa am mark VVD kwenye set pices

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa pia, halafu haikuwa one thing. Baada ya lile goal kila kona nilikua naona Fred au Williams ndio wanamkaba VVD.

Nilitegemea kidogo labda Matic au Maguire ndiye akabane naye, smh..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashangaa pia, halafu haikuwa one thing. Baada ya lile goal kila kona nilikua naona Fred au Williams ndio wanamkaba VVD.

Nilitegemea kidogo labda Matic au Maguire ndiye akabane naye, smh..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichokuwa kinafanyika pale ni zonal marking..kitu ambacho kina faida na hasara zake..

Usidhani Ole alishindwa kuwaambia direct kuwa Matic/Maguire deal na VVd kwa sababu wewe mrefu utamueza..aliopt hiyo zonal marking na ikatucost goli la kwanza kwa maguire kuchelewe kufika na pia Gomez alimzongazonga,so ikawa easy kwa vvd
 
167 Reactions
Reply
Back
Top Bottom