brother, nimekuwa mzito sana siku hizi kujadili ishu za mipira hususani klabu pendwa ya manchester united ndio maana nimechelewa kujibu hii nukuu yako, nadhani hali hii inachangiwa zaidi na kukosa kwangu kuziangalia takribani mechi tano zilizopita za manchester united.
mara nyingi naishia kusoma comment kimya kimya kila thread then natafuta mlango wa kutokea
===============================
kwa mwenendo wa team yetu nyakati hizi sidhani kama mind games zinaweza kutuletea faida dhidi ya adui aliyetuzidi kiubora mara mbili zaidi, muongo mmoja uliopita hizi mind games zilikuwa zinatusaidia sana pindi tunapokutana na maadui zetu kwa sababu tulikuwa bora kimkakati kuanzia ubora wa mwalimu, ubora wa bajeti dhidi ya adui mpaka ubora wa kikosi.
tumefikia hatua wachambuzi uchwara wa soka wanapofanya mlinganisho wa ubora wa vikosi kati ya timu mbili pinzani klabu yetu inashindwa kuingiza angalau wachezaji wawili kwenye kikosi
nimeikuta hii taarifa kupitia page ya
manchester united updates muda huu
Manchester United squad members to face Liverpool:
- De Gea, Romero, Grant,
- Jones, Wan-Bissaka, Lindelof, Williams, Bailly, Maguire, Dalot, Shaw,
- Lingard, Matic, Fred, Pereira, Gomes
- Mata, Chong, James, Martial, Greenwood
rashford amekuwa lulu kama ronaldo au messi kiupande wetu, (tumerudi nyuma sana)