Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
No. Kipaumbele changu sio striker (pekee), kipaumbele changu ni striker na kiungo mshambuliaji/creator
Mfano Pogba angekuwa anataka kuendelea kuwepo United angalau tungehitaji kiungo mtengenezaji 1, nimesema angalau. Sio timu nyingi duniani zenye viungo wazuri kama Fred, Matic na Scoty katika timu zao. Kwahiyo angalau tungempata mtu kama Fernandes B akisaidiana na Pogba kikosini (katika squad) tungeweza kuwa pazuri kwenye suala la creativity.
Upande wa mbele tungeweza kupata striker, na striker mzuri ambaye alikuwa available ni huyo dogo Haaland.
Sasa imagine tungemsajili Haaland halafu kabla ya January mwishoni tuwe tumemleta Bruno, timu ingekuwa katika hali nzuri kiasi gani
Hivi itokee Martial aumie sasa hivi hata mwezi tutakuwa kwenye hali gani kule mbele, maana huyo Rashy nimesikia atakuwa nje for few weeks
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano Pogba angekuwa anataka kuendelea kuwepo United angalau tungehitaji kiungo mtengenezaji 1, nimesema angalau. Sio timu nyingi duniani zenye viungo wazuri kama Fred, Matic na Scoty katika timu zao. Kwahiyo angalau tungempata mtu kama Fernandes B akisaidiana na Pogba kikosini (katika squad) tungeweza kuwa pazuri kwenye suala la creativity.
Upande wa mbele tungeweza kupata striker, na striker mzuri ambaye alikuwa available ni huyo dogo Haaland.
Sasa imagine tungemsajili Haaland halafu kabla ya January mwishoni tuwe tumemleta Bruno, timu ingekuwa katika hali nzuri kiasi gani
Hivi itokee Martial aumie sasa hivi hata mwezi tutakuwa kwenye hali gani kule mbele, maana huyo Rashy nimesikia atakuwa nje for few weeks
hapo inategemea kipaombele cha mwalimu husika, dirisha lililopita mwalimu aliamua kuingia sokoni kwa lengo la kuimarisha safu ya ulinzi na alitumia takribani paundi millioni 130 kwa wachezaji wawili (wan bissaka na maguire), kwake aliamini eneo linalotusumbua zaidi ni ulinzi huku akijibebesha matumani viungo wake (pogba, perreira, lingard, fred) watazidi kuimarika
ukiniuliza mimi kipaombele changu cha kwanza itakuwa ni viungo wachezeshaji japo wawili pamoja na winga, kiupande wangu naliona tatizo kwenye maeneo hayo
nikikuuliza wewe huenda kipaombele chako utaniambia tatizo letu kubwa tunalopaswa kulitatua ni striker mfano wa haaland ndipo tuangalie nafasi nyenginezo.
mwenye maamuzi ya mwisho anabaki kuwa ni mwalimu husika na ndiye anayefahamu hali ya kifedha iliopo klabuni.
huwezi jua pengine ole alimuhitaji haaland na hata bruno fernandez lakini tatizo ni hela.
Sent using Jamii Forums mobile app