Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Mnatozwa buku!!! Sisi kwetu jeroKidogo mchana nilipie king'amuzi changu niangalie mech kwa utulivu kilikwisha jana roho ikagoma nikahisi leo kichapo kipo walahi roho ingeuma unalipia na unapigwa ka elfu 44 kangu kangeuma sana nikasema ntasikilizia kibanda umiza bado buku langu roho ikawa inauma litakwenda majamaa humu wamenipa moyo nimeenda kuchek nimeliwa 500 miatano nimekula kipindi cha pili tulikuwa vizur kidogo.
Shukrani sana mkuu Darmian na Mc cane mlinipa ujasiri niliogopa sana kikosi kilipotoka fikiria unaambiwa jones anamaliza namba 5.