Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Tatizo kubwa la United kwa sasa ni uwepo wa OGS
Najua United ina tatizo kubwa kuliko coaching staffs lakini kuna mambo ambayo ni madogo madogo kwa benchi la ufundi makini kwa wachezaji hawa hawa tulionao tungeweza kuyashughulikia. Kuifunga Watford, Aston Villa, Newcastle, Everton, Bournamouth huhitaji kuwa na Christian Ronaldo au Lionel Messi
Nikimuangalia OGS namuona ana mentality zaidi ya Sporting Director kuliko kocha, always he is talking about the future, about United culture, identity, about United way, about something big than training and managing players
We need a trainer in a coaching position and we need Sporting director in Director of Football position.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua United ina tatizo kubwa kuliko coaching staffs lakini kuna mambo ambayo ni madogo madogo kwa benchi la ufundi makini kwa wachezaji hawa hawa tulionao tungeweza kuyashughulikia. Kuifunga Watford, Aston Villa, Newcastle, Everton, Bournamouth huhitaji kuwa na Christian Ronaldo au Lionel Messi
Nikimuangalia OGS namuona ana mentality zaidi ya Sporting Director kuliko kocha, always he is talking about the future, about United culture, identity, about United way, about something big than training and managing players
We need a trainer in a coaching position and we need Sporting director in Director of Football position.
Sent using Jamii Forums mobile app
"I feel a bit sorry for Rashford because if he was in City’s team he would get 40 goals a season."