Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo kubwa la United kwa sasa ni uwepo wa OGS

Najua United ina tatizo kubwa kuliko coaching staffs lakini kuna mambo ambayo ni madogo madogo kwa benchi la ufundi makini kwa wachezaji hawa hawa tulionao tungeweza kuyashughulikia. Kuifunga Watford, Aston Villa, Newcastle, Everton, Bournamouth huhitaji kuwa na Christian Ronaldo au Lionel Messi

Nikimuangalia OGS namuona ana mentality zaidi ya Sporting Director kuliko kocha, always he is talking about the future, about United culture, identity, about United way, about something big than training and managing players

We need a trainer in a coaching position and we need Sporting director in Director of Football position.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Micah Richards "I feel a bit sorry for Rashford because if he was in City’s team he would get 40 goals a season."

Je kuna ukweli hapa? Kuna ka hisia kananijia tunaua vipaji maana daaaa

Nina uhakika kama Rashford angeendelea kuwa chini ya Luis van Gaal angeweza kuwa kwenye top strikers by now, Mourinho ni moja ya watu walirudisha nyuma uwezo wa jamaa.
 
Micah Richards "I feel a bit sorry for Rashford because if he was in City’s team he would get 40 goals a season."

Je kuna ukweli hapa? Kuna ka hisia kananijia tunaua vipaji maana daaaa
Richard yupo sahihi,vipaji vinakufa hapo hakika....mtu kama sanchez aliyeuwasha kule London hapo kashindwa na kaflop mazima,mifano ni mingi....Mikhi,Pogba,Fred,Lingardinho,Martial,Mata, Lukaku.......hapo nimewaacha kina di maria na Memphis huyu DJ hana muda mrefu nae atafuata wenzie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu mechi na Norwich Shaw anaanza pumbavu, Dogo Brandon Williams licha ya Jana kuteleza ila alikuwa poa na hata alipoteleza alikuwa anajaribu kuokoa sehemu ya Jones pumbavu.

Brandon hatabiriki mpira anapigaje anaweza kusogea golini letu na mpira mkamvamia akala kona mbio mbio na accurate pass kwa Fred tofauti na Shaw au Young.


Nataka Dogo aanze na Norwich.


Greenwood tusimuonee dogo ana roho safi hata pale alipompa assist Rashford angekuwa ni Rashford angebutua ovyo.

Kingine kampasia Lingard jamaa ovyo kisigino kurudisha.


Wan Bissaka afadhali anapandisha kidogo.

Hili suala la David James kupigwa Sub naomba ufafanuzi please.

Now tunajua umuhimu wa Maguire aseee!

Kuhusu Lingard aaah! Duh! OLE OLE OLE wewe kakupa nini huyu jamaa ovyo tu.


Kama Norwich Maguire asporudi wakuu mnaonaje tukawa na 3 backs 5 mids na two forward.



Mids za kupanda na za kusaidia defense maana Jones ujinga mtupu.


All in all hii timu siku hizi inatabirika. Kuna wachezaji wasiotabirika.


Greenwood, Williams, Matic, Fred hasa pass zao tatizo wakiwapoteza wapinzani sasa kimbembe pasi wampigie nani, mpira ukitua kwa lingard unaishia kuburuzwa, ukitua kwa Rashford ustaa mwingi, kwa Perreira shuti za ovyo mara chache assit ukitua kwa Greenwood kuna afadhali.

Rashford anaboa kitu kimoja hana teamwork ni uchoyo na kutaka sifa ona free kick inapigwa ovyo.

Na kocha mwe mwe mwe hawezi hata kujiwekea vitunguu machoni aonekane amekasirika dah jamaa kakunja nne madogo wanachomesha timu.
Mumesajiri mchezaji mpya anayeitwa David James????

Au ndio weweseko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina jazba Mkuu

Nimeongelea uhalisia, hivi wewe ukiichambua Arsenal yako na mapungufu yake ina maana ni jazba?

Kuna vitu huwa tunakubali kwenye game (kama kuzidiwa) ila kuna mambo mengine unaona kabisa kuna uzembe wa wazi unafanyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekuwa mpoleeeeee leo ...safi sana ,hii hali ikiendelea mashetani wote tutawakuta peponi....

Chama langu la utotoni Norwich City nawaamini sana,hawatanuangusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanini kununa akati hili ni swal la mpito tu na tunajipanga kwa ujio mwingine nazani hatutakuwa kama tulivyo kwa sasa nazani utajionea #CopyDat
Afu ulitaka tulie ama kununa kisa kufungwa kwani sisi ni wa kwanza kufungwa toka ligi ianze soon furaha inakuja utanambia afu wewe kama huwa unalia mkifungwa chukua position yangu nisije onekana sina machungu na timu.
Unafurahia kupigwa tatu kama yanga wanavyofurahia sare...aiseeeeeh msumekuwaje nyie nyumbu....ndio mumefikia huku!!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa la United kwa sasa ni uwepo wa OGS

Najua United ina tatizo kubwa kuliko coaching staffs lakini kuna mambo ambayo ni madogo madogo kwa benchi la ufundi makini kwa wachezaji hawa hawa tulionao tungeweza kuyashughulikia. Kuifunga Watford, Aston Villa, Newcastle, Everton, Bournamouth huhitaji kuwa na Christian Ronaldo au Lionel Messi

Nikimuangalia OGS namuona ana mentality zaidi ya Sporting Director kuliko kocha, always he is talking about the future, about United culture, identity, about United way, about something big than training and managing players

We need a trainer in a coaching position and we need Sporting director in Director of Football position.




Sent using Jamii Forums mobile app
True

Timu yetu inavyocheza inaonyesha kuna poor training ever..hata details ndogo ndogo tu wachezaji inaonyesha hawapewi zaidi ya kutegemea individual brilliance
 
Vishabiki vya asenane ni "vipuuzi" kabisa,kutwa nzima vipo humu kwenye uzi wetu vinaongea ujinga ujinga tu..nendeni kwenye uzi wenu

Mbona watu wa Liverpool wapo cool na wanatoa challange za kueleweka??,,nyie mnakuja na vistori vyenu vya kijingajinga na kutuharibia uzi wetu
 
Tatizo kubwa la United kwa sasa ni uwepo wa OGS

Najua United ina tatizo kubwa kuliko coaching staffs lakini kuna mambo ambayo ni madogo madogo kwa benchi la ufundi makini kwa wachezaji hawa hawa tulionao tungeweza kuyashughulikia. Kuifunga Watford, Aston Villa, Newcastle, Everton, Bournamouth huhitaji kuwa na Christian Ronaldo au Lionel Messi

Nikimuangalia OGS namuona ana mentality zaidi ya Sporting Director kuliko kocha, always he is talking about the future, about United culture, identity, about United way, about something big than training and managing players

We need a trainer in a coaching position and we need Sporting director in Director of Football position.




Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa mkuu OGS hana analojua zaidi haya uhamasishaji.... Yani unaangalia tukiwa tunashambulia positioning inakuwa kazi wachezaji hawajui hata wakae wapi......mwisho tunapiga pasi uchwara za kurudi nyuma.....

Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini OGS atakuja kutupa mafanikio, yani hata wakimfukuza akaja kocha mzuri akaunda kikosi alafu OGS akarudishwa hana atakalotupa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom