Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nakumbuka yule babu anaitwa Harry Rednap ligi kabla haijaanza alifanya uchambuzi sky sport akapendekeza manchester united ifanye usajiri wa wachezaji saba kuziba mapungufu, na akaonya endapo Ogs hacposajiri idadi iyo tutakua na msimu mgumu sana, mim sikumuelewa kabsa yule babu, leo nakumbuka maneno yake

Wakati naandika hii text tunafungwa la pili, duuh
Tunaweza kula mkono hii game

Washabiki wa liverpool na asernal tuwaombe watufundishe mbinu za sisi fans wa utd ya kuwa wavumilivu, wao waliwezaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Man ni timu nzuri ikishafungwa. Nadhani liongezwe la 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka yule babu anaitwa Harry Rednap ligi kabla haijaanza alifanya uchambuzi sky sport akapendekeza manchester united ifanye usajiri wa wachezaji saba kuziba mapungufu, na akaonya endapo Ogs hacposajiri idadi iyo tutakua na msimu mgumu sana, mim sikumuelewa kabsa yule babu, leo nakumbuka maneno yake

Wakati naandika hii text tunafungwa la pili, duuh
Tunaweza kula mkono hii game

Washabiki wa liverpool na asernal tuwaombe watufundishe mbinu za sisi fans wa utd ya kuwa wavumilivu, wao waliwezaje
Sent using Jamii Forums mobile app
LA 3 asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom