Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jones ndani ya Nyumba,Martial on the Bench,Lingardinyo on that no10 role.Here we go
 

Attachments

  • Screenshot_20200107-220313~2.jpeg
    Screenshot_20200107-220313~2.jpeg
    39.9 KB · Views: 5
  • Screenshot_20200107-220313~2.jpeg
    Screenshot_20200107-220313~2.jpeg
    39.9 KB · Views: 8
Jones na Victor wallahi i can't wait kuangalia hii combo. Sikuwa najisikia kuangalia hii mechi ila nahisi ina vituko sana acha nikaangalie tu nijionee miujiza ya ole bila kuhadithiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa full burudani

Ile gemu ya ligi nilikuwa na kiimani flani kwamba tunaweza kufanya kitu,ila hii nimeamua tu niangalie burudani,whatever the result,mimi sina shida
 
Angalia Mkuu, usipoangalia utadanganywa

Nimeona kuna mtu alileta longolongo humu eti Guardiola kasema kuliko kuifundisha United, bora aifundishe timu ya taifa ya Maldives, ukamchana

Humu kuna watu waongo waongo sana, wanachukua kaukweli flani, wanachanganya na uongo mkubwa kutengeneza story uchwara

Mimi naangalia kaka
Leo mimi siangalii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daa ukiangalia kikosi huwez kuamini kama ndio lile li timu tajir duniani wachezaj wa kuokoteza jina la timu na vilivyopo vitu viwili tofaut

Ukweli usemwe solskjaer kajifichia kwenye kichaka cha madogo
Yaani mkuu tumepoteana kabisa hii sio United..nimeangalia hiki kikosi mara kadhaa,nikaishia kujisemea tusipokuwa makini tunaenda kuwa ac milan
 
Back
Top Bottom