OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Hapana, EFL semi final ni 2 games home and away.
Hahaha wale man city leo wanatumia alikasusu au vumbi la KongoMunacheza ndio nini na wewe, unaonekana mjanja lakini unaongea kama mkimbizi
Sent using Jamii Forums mobile app





Hahah unaona kinomaKwa kikosi cha leo naona mkono tunakula mengine tumwachie Mungu tu



Huyu timu imekua kubwa kumzidi na kinachotokea timu inazidi kupotea kadri siku zinavyoenda, namtabiria mwisho mwa msimu woordwad atampa bahasha ya asante kwa ushirikianoMidfield ya Pereira, Lingard na Fred dhidi ya KDB, Rodri na Silva what do we expect, Fred ananyonywa
Nakumbuka OGS amerudia zaidi ya mara 3 kwamba I'm happy with the players I have, alipoulizwa kama anahisi alihitaji wachezaji zaidi kwenye kikosi chake, ndio maana huwa nasema OGS haepuki lawama
Hapo sijaongelea rigid tactics zake ambazo ni very predictable
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kati City wametawala kupitiliza.Kwa hali ya midfield yetu ningekuwa OGS, ningemwamisha Bissaka aende kati, awe na Fred na Matic
Halafu Dalot acheze namba 2
Halafu Pereira apande namba 10
Bila hivyo City wataendelea kututawala katikati
Sent using Jamii Forums mobile app
Ac Milan kubwa ivyo ..mutakuwa VillarrealYaani mkuu tumepoteana kabisa hii sio United..nimeangalia hiki kikosi mara kadhaa,nikaishia kujisemea tusipokuwa makini tunaenda kuwa ac milan



ACHA UMBUMBUMBU..INGIA KWENYE MITANDAO SEARCH TIMU KUBWA UTAPATA JIBU, HALAFU UANGALIE KAMA UTAIKUTA HIYO ARSENANE YAKO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaporomoka kwa kasi mno, ile utd iliyokua inaogopewa ulaya mpaka kuwa without counter attack we cant score even short on target (refer last game Vs wolves)
Wanatakata mnoo!Sio rahisi kama unavyozani subili uone vijana leo watakavyotakata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani umelazimishwa kushabikiaNakumbuka yule babu anaitwa Harry Rednap ligi kabla haijaanza alifanya uchambuzi sky sport akapendekeza manchester united ifanye usajiri wa wachezaji saba kuziba mapungufu, na akaonya endapo Ogs hacposajiri idadi iyo tutakua na msimu mgumu sana, mim sikumuelewa kabsa yule babu, leo nakumbuka maneno yake
Wakati naandika hii text tunafungwa la pili, duuh
Tunaweza kula mkono hii game
Washabiki wa liverpool na asernal tuwaombe watufundishe mbinu za sisi fans wa utd ya kuwa wavumilivu, wao waliwezaje
Sent using Jamii Forums mobile app



achananayo mkuu...