Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila mchezaji wa soka unafaa uwe mvumilivu aisee.....kati ya wachezaji wa man u ambao hawapaswi kulaumiwa msimu huu ni Rashford... Nadhani kawapa pointi za kutosha msimu huu... Eti mchezaji wa mechi kubwa kwan ana magoli mangapi alipocheza na timu kubwa msimu huu...?
Hajaifunga arsenal tu la kuuuliza hili kwa rashford
 
Sioni ni jinsi gani tunaweza kushinda hii gemu honestly..

Atleast angekuwepo McTominay,tungefanya kitu

Na Pep amekuwa akitupiga sana OT..

Let's wait and see saa tano nini kitatokea..

GGMU
 
Sioni ni jinsi gani tunaweza kushinda hii gemu honestly..

Atleast angekuwepo McTominay,tungefanya kitu

Na Pep amekuwa akitupiga sana OT..

Let's wait and see saa tano nini kitatokea..

GGMU
Hivi scot ndo tegemeo lenu kwa sasa
 
Back
Top Bottom