Kipindi ambacho Guardiola yupo busy kutoa maelekezo, bwana OGS yeye kavunga zake jukwaani anakula upepo.
"Ruzige"
Tatizo mtaani huwa mnatusumbua sana. Nadhani ziongezwe zingine kama 3 at leastTimu yetu mbovu sana wala ucpoteze muda kuja kubeza hapa, sis fans wa utd tunafaham hatuna timu hapa, tuna kikundi ambacho hakiwezi pata namba hata leicester city
Sent using Jamii Forums mobile app



Sasa mbinu huna unasimama kufanya nini kaka bora akae tu.Kipindi ambacho Guardiola yupo busy kutoa maelekezo, bwana OGS yeye kavunga zake jukwaani anakula upepo.
"Ruzige"


Alafu kuna watu kila siku wanamponda Pogba na wengine wanasema aondoke. Mi sijui hawa watu huwa wanawaza nini.
Tusipofanya usajili mwezi kazi tunayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
First Half 0-3
Usiku mwema wadau. Napoteza muda tu hapa.
"Ruzige"




