radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Daaa kikosi cha leo mkuu tutampa lawama rashford na de gea hiv ndivyo wachezaj wanavyoharibika kisaikolojia wakienda timu zingine wanafanya poaAngalia Mkuu, usipoangalia utadanganywa
Nimeona kuna mtu alileta longolongo humu eti Guardiola kasema kuliko kuifundisha United, bora aifundishe timu ya taifa ya Maldives, ukamchana
Humu kuna watu waongo waongo sana, wanachukua kaukweli flani, wanachanganya na uongo mkubwa kutengeneza story uchwara
Mimi naangalia kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
