Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sisi Mashabiki kindakindaki wa Mwantesa Utd tunaomba Ole Sendeka aongezewe mkataba wa kudumu maana tunaupiga mwingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa lipi sasa unamfukuza kocha??? ole anafanya poa sana timu ilishapoteza utamaduni wake si rahisi kurudi kama kuchota maji mtoni kuna cream ya players itapita sana had kupata timu sahihi unaweza kukuta had timu isimame anaweza kubak kipa tu

Huwa nikimuangalia martial sioni kama anaweza kuwa zaidi ya pale ndo mwisho wake lazima kutafuta washambuliz tena
 
huyu ole anawafaraji tu anapiga hatua mbili mbele moja nyuma safari ngumu sana hatutoboi top 4 hata 6 mashaka kama hajaleta midfielder hii january

Sent from my SM-G950U using Tapatalk
Pale lazima kupata mshambuliaji na kiungo lasivyo atajidanganya
 
Mfate huyo Raiola, maana naona ingekuwa kuna timu inaitwa Pogba baadhi yenu mngekuwa Pogba/Raiola Fc

Pogba boya tu kama maboya wengine, tuna majeruhi ya kutosha halafu yeye ndio anazingua

Akina Xaka, Kolasinic, Kostas wote hawakuwa fiti 100% lakini wamecheza, halafu boya mmoja anaitwa Pogba anajiona star hawezi kucheza kuipambania timu

Arsenal leo wametuzidi kwenye kiungo, angekuwepo Tominay wasingetawala game, first half

OGS naye ana share ya makosa, how anaanza Lingard mbele ya Pereira kwa form zao kwa sasa

Makosa mengine ya OGS ni ya siku za nyuma, alishindwaje kusajili midfielders wakati Fellaini na Herrera wameondoka. Angesajili kiungo tusingekuwa tunategemea Pogba kwa kiwango hiki

Very poor first half
Raiola yuko sahihi 100%,

Sent using simu mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine Ole huwa simsomi ni kwamba anakosa uwezo wa kusoma mechi na kufanya mabadiliko haraka au inakuwaje?
Game tangu imeanza ilishaonekana leo tumezidiwa cha ajabu yupo tu kakunja nne.
Ngoja nilale kesho ntapata matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeongea, juzi tuliona Lampard aligundua Emerson anazingua akamtoa mapema kabisa akaingia Georginho mpira ukabadilika na wakashinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfate huyo Raiola, maana naona ingekuwa kuna timu inaitwa Pogba baadhi yenu mngekuwa Pogba/Raiola Fc

Pogba boya tu kama maboya wengine, tuna majeruhi ya kutosha halafu yeye ndio anazingua

Akina Xaka, Kolasinic, Kostas wote hawakuwa fiti 100% lakini wamecheza, halafu boya mmoja anaitwa Pogba anajiona star hawezi kucheza kuipambania timu

Arsenal leo wametuzidi kwenye kiungo, angekuwepo Tominay wasingetawala game, first half

OGS naye ana share ya makosa, how anaanza Lingard mbele ya Pereira kwa form zao kwa sasa

Makosa mengine ya OGS ni ya siku za nyuma, alishindwaje kusajili midfielders wakati Fellaini na Herrera wameondoka. Angesajili kiungo tusingekuwa tunategemea Pogba kwa kiwango hiki

Very poor first half

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mata ni bora mbele ya lingard kwa mech ya leo dakika alizocheza chache kipiga key pas moja tumepata na foul ambayo fred katungua mnazi
 
√Nasubiria tu reaction ya Ole kwenye dirisha dogo hili..squad depth+quality bado sana

-Mata is dead
-Matic too slow..yaani kama kibabu cha miaka 80
-Shaw is useless
- Depending on Lingard in 2020 is a joke..hastahili hata kuwa kwenye matchday list

√Uchezaji wa Maguire sometimes unaniboa kinoma, anapenda kukaa na mpira na hakuna la maana analolifanya..move the fu.ckin ball faster..Anapata free header anashindwa kufunga

-Hii timu msimu wote huu tumekuwa na hali ya kupata confedence na kuhisi tumerudi atleast,then tunakutana na kipondo..it's real disgusting
 
Hii timu huwa inashinda kutokana na morali Za wachezaji tu siku wakiamka vizuri wanafanya poa siku wakiamkia kiunoni wanazingua. Ila sioni mpaka leo kama kuna kitu kocha ameongeza zaidi ya kusajili, hana mbinu wala mpango kazi wa kushinda mechi anapofeli mfumo A inakua ndo imetoka hiyo. Na bado kama haoni umuhimu wa kupata kiungo mzuri January hii tuhesabu maumivu,hamna inapoenda hii timu tunadanganyana tu yani.
Hata Sub zake zakukariri tu leo Rashford hamna alichofanya hajadribble hata mara moja lakini kamtoa James sababu kakariri makame hatoki na james ndo sub ya greenwood hii ni constant haijalishi wameperfom vipi uwanjani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkishinda vimechi 2 mnajisahaulisha kila kitu,mkipigwa mechi 1 tu mnaanza lawama.
Kafukue nyuzi za liverpool za mwaka 2016/2017 /2018 uone kama hamna lawama 2019 ndo mmeonja raha ya makomne basi mnajidai hamjui lawama

Mpira sifa huja timu ikifanya poa ikifungwa ni kitu ingine ile pale liverpool ipoteze mech nne kama hajaulizwa shaqir kwa nini hachez kila mech
 
Back
Top Bottom