Omary Mezza
Member
- Jun 26, 2019
- 31
- 57
Ole hawezi kufukuzwa..cha kufanya wewe hama timuWenyewe wapo serious na kazi akati sisi tumeridhika na huyu mpuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdau sina cha kuongeza kwa sana umeandika fikra zangu kwa kiasi kikubwa timu inapata matokeo na kubadilika ila watu hawalioni hilo takriban timu kubwa zote tumepata matokeo sasa muda unahitaji kurekebisha kuhusu timu ndogo na tutakaa sawaHivi nyie mashabiki mnaomtukana OGS humu kila siku huwa mnasikiliza kwenye press conference huwa anasema nini maana kila kitu anaweka wazi na ameshasema walikuwa wanajua msimu huu utakuwa wa kupanda na kushuka na ndio msimu utatumika kupata timu kwaajili ya msimu ujao.
Ifike mahali muheshimu tu maamuzi ya kocha, Ole anahitaji muda kukamilisha project yake kama LFC wangekuwa sio wavumilivu huenda wasingefika walipo, kwenye soka kuna kupanda na kushuka huwezi kuwa sehemu moja kila siku.
Ifike sehemu GLORY HUNTERS mtuachie timu, timu zipo nyingi zenye matokeo mazuri kila mechi.g
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mdau kwangu mimi bado naona Ole anatufaa mapungufu yapo na yanafanyiwa kaziWenyewe wapo serious na kazi akati sisi tumeridhika na huyu mpuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshinda tena bila yeye
ukimtaka James huyo unaemzungumzia basi abadilishiwe upande atakuoffer vitu vingi zaidiJames anatoa hizo pasi tunapofanya counter attack sanasana..kitu ambacho hatujakifanya sana tunapokutana na timu ndogo
Mchezaji inabidi usiwe na strength moja tu..
Hakuna asiyekubali kuwa James kuna vitu anavyo..ila sio lazima aanze kila mechi,kuna mechi tutahitaji aina nyingine ya uchezaji
Haya sio mawazo yakibingwa nimawazo ya kichaa yaani uwazie ubingwa?? Kwa kushinda mech mbili..... nyie mashabiki wa hii timu kazi mnayoAkili zako aziko sawasawa. Tuombe Liver pool afungwe na wolves tupunguze gap lake, tupambane tuchukue ubingwa. Arsenal wa 12 huko akishinda inakusaidia nini sasa wewe PUMBAFU. Tuweni na mawazo ya ubingwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatutaki ubingwa msimu huu sisi Leo tutaungana na ndugu zetu Arsenal aidha ashinde au draw, japo draw ni nzuri zaidi. Tunawapenda sana asenane!!Akili zako aziko sawasawa. Tuombe Liver pool afungwe na wolves tupunguze gap lake, tupambane tuchukue ubingwa. Arsenal wa 12 huko akishinda inakusaidia nini sasa wewe PUMBAFU. Tuweni na mawazo ya ubingwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sio mawazo yakibingwa nimawazo ya kichaa yaani uwazie ubingwa?? Kwa kushinda mech mbili..... nyie mashabiki wa hii timu kazi mnayo