Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakati mwingine Ole huwa simsomi ni kwamba anakosa uwezo wa kusoma mechi na kufanya mabadiliko haraka au inakuwaje?
Game tangu imeanza ilishaonekana leo tumezidiwa cha ajabu yupo tu kakunja nne.
Ngoja nilale kesho ntapata matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lingard ilibid amalize mech mapema kuna kpnd bek no 2 ilipoteza mpira akawa anadrive badala ya kupga pas ya mwsho kwa martial hpa ndo tunamkumbuka perreira kwenye mech dhid ya burnley

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna tunachocheza,tumezidiwa kila kitu. Afya za wachezeaji wetu ni mbovu sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu dirisha dogo litafungwa timu haijafanya usajili wa kiungo. Tatizo letu kubwa lipo pale kati. Huku kwenye mabeki tunao wengi, akizingua Maguire atakaa Rojo hivyo hivyo akizingua Lindelof atakaa TTuanzebe. Sasa kiungo tuna nani?

Kidogo Fred ndio anapambana. Tumemtegemea Scott kapata jeraha, hamna mbadala. Matic mzee.

Yani kwa MUFC hii inahitaji viungo makini wawili. Mmoja awe DM mwenye kasi,nguvu na akili ya haraka. Ila kwa hawa viungo wa sasa ni ushindi wa bahati tu. Na tutaendelea kuona mabeki hawafai.
 
Yaani Ole basi tu.
Timu nzima imekufa na tunategemea mipira mirefu na arsenal washalidhibiti hilo,
 
Hv hata ww shabik wa man u Ndó ungekuwa Halaand ungekubali kuja kucheza kwenye litimu kama hili lisilojielewa au mnamlalamikia Raiola wa watu bure tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi siwalaumu wachezaji kukataa kuja MUFC. Hata Pogba bora alazimishe akimbie,huwezi kuwa chini ya kocha mbahatishaji na uongozi unaobahatisha ukafika popote. Mwisho utastaafu bila kombe.
 
Back
Top Bottom