Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna mtu anajiita Cash Money, shabiki wa Chelsea kule kalambwa pande za huku matokeo yanamuumiza

Nakumbuka nilisema kwa uchezaji wa Man U ni rahisi kuzifunga timu kubwa kuliko timu ndogo, akasema muifunge na Man City sasa

Sasa mwiteni na mmwambie tumefunga na hiyo Man City yake anayoigopa
 
Jamaa wananfurahisha sana wanavyoshangilia humu ndani

Wameshinda ndio ila wamecheza mpira mbovu mnoo

Shida mi napenda ukweli sana mkuu

Nawashukuru wametusaidia liva kuongeza gap

Ila wasijione ndo washabeba epl hawa nyau
hakuna Manchester iliyowahi kucheza mpira mzuri ukiondoa ya LVG

muandiko mzuri sio lazima bana, ukijua kuandika inatosha

results matter
 
Back
Top Bottom