Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kusema ukweli ari ya upambanaji ipo juu mno kwa United kwa sasa....

Kutopoteza dhidi ya timu 6 za juu EPL sio kazi ya kitoto na kwa hili nampa heko sana Ole Sendeka maana anafanya kitu ambacho Unai ameshindwa fanya pale Arsenal...kuamsha marali ya upambanaji kwa wachezaji.

Ukiangalia kwa makini utaona timu nzima,wanapambana kwa kila hali kwa kazi chafu na safi....

Napenda DJ na Scott wanavyojiamini utasema ni 25's players kumbe bado sana.

Nilicheka sana lile buti alilopigwa Stearing na Perreira ndio maana halisi ya HAINA KUFELI....

Bigup
lile buti nmelipenda.
 
Kusema ukweli ari ya upambanaji ipo juu mno kwa United kwa sasa....

Kutopoteza dhidi ya timu 6 za juu EPL sio kazi ya kitoto na kwa hili nampa heko sana Ole Sendeka maana anafanya kitu ambacho Unai ameshindwa fanya pale Arsenal...kuamsha marali ya upambanaji kwa wachezaji.

Ukiangalia kwa makini utaona timu nzima,wanapambana kwa kila hali kwa kazi chafu na safi....

Napenda DJ na Scott wanavyojiamini utasema ni 25's players kumbe bado sana.

Nilicheka sana lile buti alilopigwa Stearing na Perreira ndio maana halisi ya HAINA KUFELI....

Bigup
Lile buti ukimpiga mtu kama Juma Nyosso ujue kwenye kona lazima akupime tope tu
 
Kwa sasa Fred akizingua itakuwa sio suala la kuhoji uwezo wake, bali suala la kuwa na bad game

Rashy kama kawaida yake anafunga magoli magumu lakini mepesi anakosa. Over all hizi wiki 4 amekuwa kwenye kiwango kikubwa sana

James ukiacha mchango wake kwenye kushambulia, ana umuhimu sana kwenye kukaba (kama huamini muulize Angelino). Jana ame recover mipira mara 8. Kiukweli tumewaibia Swansea City, huyu dogo sio wa £15m

Scoty being Scoty, Martial being Martial na De Gea being Degea ilituimarisha zaidi

Lindelof jana alijituma sana, Harry aliongoza timu vizuri na alifanya clearence za kutosha kwenye mipira ya juu

AWB anasumaku miguuni, mpira haupiti kizembe anapo block, na forward akishangaa shangaa jamaa ameudokoa na mpira wa 50/50 forward aruke tu maana kwanja litakalopita halitamwacha salama

Naona safari ya Matic January, naona headache kwa OGS, kirusi atakapokuwa fit kumu accomodate

√Embu tuwe serious jamani,Fred ameimprove sana..na Workrate yake siyo mchezo..ukimweka na McSouce (The Mad Dog) basi ni burudani kabisa..kuna pasi kampa Rashford,ebhana eheee!! ilikuwa tamu sana

√AWB is a rock..najua wengi tupo concerned na mchango wake wakati wa kushambulia,lakini tukumbuke primary work ya defender ni kukaba na AWB anafanya hii kazi kwa level za juu sana..my MOTM IMO

√James,a kid from championship playing like a 27 mature guy..na niulize huyu dogo hachoki??..2nd half amerudi kumsaidia AWB na Sterling akamalizwa ujanja wake

√Rashford analeta matumaini

√ Kumuona Fergie akitabasamu ni kitu poa sana

√ Wale mashabiki uchwara wa city waliomrushia vitu Fred na kuonyesha ishara za kibaguzi inabidi wamenywe ipasavyo..washenzi kabisa..na tumewatia,shenzi zao

Next ni Everton,..wana interim coach wao kama chizi vile wakifunga..hopefully tutawabamiza pale OT

GGMU
 
Yaani jamaa comment zake inaonekana roho inamuuma sana United kushinda, huyo Pep timu yake haijawahi kuwa na possession ndogo dhidi ya mpinzani wake yoyote........ Juzi dhidi ya Chelsea ndio ilikuwa mechi ya kwanza kuzidiwa possession (hapa naongelea kwa timu zote alizofundisha)

Yaani ni ile kwamba United imeshinda kwa hiyo ni kutafuta hoja za kuokoteza tu, ili kuuchukulia poa ushindi wake
Kwahiyo mkuu, ulitegemea to dominate possession vs Man city ???

Hiyo weed watumia imelimwa wapi ??
 
BEASTsaka
IMG-20191208-WA0005.jpeg
 
Kwa sasa Fred akizingua itakuwa sio suala la kuhoji uwezo wake, bali suala la kuwa na bad game

Rashy kama kawaida yake anafunga magoli magumu lakini mepesi anakosa. Over all hizi wiki 4 amekuwa kwenye kiwango kikubwa sana

James ukiacha mchango wake kwenye kushambulia, ana umuhimu sana kwenye kukaba (kama huamini muulize Angelino). Jana ame recover mipira mara 8. Kiukweli tumewaibia Swansea City, huyu dogo sio wa £15m

Scoty being Scoty, Martial being Martial na De Gea being Degea ilituimarisha zaidi

Lindelof jana alijituma sana, Harry aliongoza timu vizuri na alifanya clearence za kutosha kwenye mipira ya juu

AWB anasumaku miguuni, mpira haupiti kizembe anapo block, na forward akishangaa shangaa jamaa ameudokoa na mpira wa 50/50 forward aruke tu maana kwanja litakalopita halitamwacha salama

Naona safari ya Matic January, naona headache kwa OGS, kirusi atakapokuwa fit kumu accomodate
Pogba ni muhimu sana kwa killer passes. Inabidi acheze juu ya Fred na Scot
 
Back
Top Bottom