Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
Zimetimia 15 tayari, alisema michuano yote.Hahahaha asee nina raha iliyoje Hahahaha pole sana ollachunga. Rashford bado goli 5 utoke humu.😂😂
Zimetimia 15 tayari, alisema michuano yote.Hahahaha asee nina raha iliyoje Hahahaha pole sana ollachunga. Rashford bado goli 5 utoke humu.😂😂
Hivi mzee huwa unakunywa ndo unaandika? Hiyo aya ya mwisho imenipa maswali kidogo kukuhusu..Sterling kakutana na mhuni anaitwa Aaron Wan-Bissaka hatembei kabisaa
. Rashford kwa sasa anastahili mishahara kama ya kina Messi na Ronaldo.
Ule uzi wa kula tunda kimasihara umemjengea confidence sana Ole, kwenda kumla jiraniJinsi Man U akivyomkula Man City kimasihara
United leo wameifanya weekend kuwa nzuri sana kwangu

Good day at the office
Naipenda sana hii timu




Walishatabiri kuwa tutashinda mechi mbili pekee ndani ya mwezi December. Mpaka sasa, mechi mbili tayari.Wazee wa kubadilisha nyimbo watakuja na nyimbo gani saiv.....ole nadhani anamaliza December


Wazee tupigieni tena Leicester, City na chelsea mzunguko wa pili ili tumalize kazi mapema, tusichoshane sana.
Jamaa wananfurahisha sana wanavyoshangilia humu ndaniOle kawa lulu.![]()
![]()




Hii ni siku kubwa sana kwakweli. Sijui kwanini vi Sheffield ndiyo vinatufunga.
Anybody with a link to stream Joshua & Ruiz
Nilikuwa tu natania mkuu..Ukinywa konyagi unadhani kila mtu anakunywa? By the way, nilikuwa katika mapumziko ya sabato, na internet nayo nikapiga pending, ndiyo maana sikuona kama mechi ipo.
Hahahaha asee nina raha iliyoje Hahahaha pole sana ollachunga. Rashford bado goli 5 utoke humu.![]()
Yaani sisi Man Utd tuna mbwembwe balaaaFred wa shakhtar Donetsk aliyekuwa akicheza sambamba na fernandinho alitua kwa mara ya kwanza carrington siku ya jumatano dhidi ya spurs na leo pia yupo dhidi ya city.
Naomba pogba aendelee kupona vizuri hadi may,asiharakishwe kurudi ataumia zaidi.