hakuna link ndugu zanguni ya mechi hii??
Jamani link ya hii mechi
Bonge la kiungo..ana unyumbulifu,pace,na akili.ana uwezo mkubwa sana wa kusoma mazingira yanayomzunguka..chelsea wamefanya biashara safi sana kwa huyu kovacic
Ole amecheza kamari za kishamba kabisa..laiti kama angelibakishwa Ander Herrera na baadae akaongezwa play maker mfano wa Bruno Fernandez nina uhakika hili tatizo la midfield tusingelikuwa na muda wa kulizungumzia.
scott + bruno + herrera
herrera + pogba + bruno
tumezipoteza lulu kwa makusudi
Sijawahi kumkubali kabisa huyu dogoHuyu chong ana safari ndefu sana.
inaonekana dogo akifanya vizuri unaumia kweli mkuu, sijui comment ya ngapi hii kuhusu greenwood.Endeleeni kujichekelesha tu na Stations za akina Greenwood.
Huyo MEDIOCRE PLAYER ambaye level yake ni kucheza Bolton,Chalton,Luton Town ndio aniumize mimi.inaonekana dogo akifanya vizuri unaumia kweli mkuu, sijui comment ya ngapi hii kuhusu greenwood.
Tumepigwa 2-1Mlioangalia mechi msiache kutupa Positivities kwenye mechi dhidi ya Astana