Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Hamna kitu hapaAnawasalimuView attachment 1275810
Hamna kitu hapaAnawasalimuView attachment 1275810
Hii ndo positive?





mbona kule kwenye team ya watoto anakiwasha sana huyu dogo ?Hamna kitu hapa
Malmo haipo Ureno..Man u wampe Ancelotti timu pamoja na pesa ya kutosha kusajili wachezaji atakao wahitaji. Hii experiment ya kutumia watoto imefeli kabisa na Ole sio kocha wa level ya team yenu ,,arudi kwao ureno akapambane na akina Malmo.
Malmo haipo Ureno..
Halafu nimeshangaa kwanini hanibal hajacheza jana.mbona kule kwenye team ya watoto anakiwasha sana huyu dogo ?
Na kuna kengine kanaitwa Hanbal Mejbir
Inaitwa Molde timu yake na Ipo Norway.Najua ipo Sweden,ndiyo wale wale tu,,.
London kubwa, upande upi? Kaskazini, ama?Macho kwa Ole sasa, huko London wameshakula kichwa
Hivi Everton vipi??Macho kwa Ole sasa, huko London wameshakula kichwa
Sasa amanuliwe Ole wamchukue UnaiMacho kwa Ole sasa, huko London wameshakula kichwa
Hivi Everton vipi??
Halafu nimeshangaa kwanini hanibal hajacheza jana.
Huyu chong maturity yake ndogo apelekwe kwa mkopo pengine ataimprove kidogo.
Halafu nimeshangaa kwanini hanibal hajacheza jana.
Huyu chong maturity yake ndogo apelekwe kwa mkopo pengine ataimprove kidogo.
Man u mnasubirie nini timueni OLE