21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,264
- 2,776
mmewapiga ngapi mkuu?Game imeisha hawa tunawapiga nyingi
mmewapiga ngapi mkuu?Game imeisha hawa tunawapiga nyingi
Na minywele yake kama Bob MarleySijawahi kumkubali kabisa huyu dogo
Melo huyu wa JF?Tumepigwa 2-1
Yaan wamechezeshwa makinda tupu.
Kuna madogo wametolewa bongo wamepelekwa kule yupo Mengi na Mello
Tumepigwa 2-1
Yaan wamechezeshwa makinda tupu.
Kuna madogo wametolewa bongo wamepelekwa kule yupo Mengi na Mello
Melo huyu wa JF?
sasa mkuu husikii tabu kumuongelea mediocre player siku nzima?Huyo MEDIOCRE PLAYER ambaye level yake ni kucheza Bolton,Chalton,Luton Town ndio aniumize mimi.
Sio Mello huyu wa JF.Melo huyu wa JF?
Nilivyoona umepost tu, nikajua hapa mambo yataharibika kama kawaida
Huyu chong ana safari ndefu sana.
Mlioangalia mechi msiache kutupa Positivities kwenye mechi dhidi ya Astana
Na kufunga pia jamaa nasikitika sana hatukumsajiliBF kila mechi anaassist
Sisi Astana tumeshinda mkuu.Mlioangalia mechi msiache kutupa Positivities kwenye mechi dhidi ya Astana
Hii ndo positive?Mkuu positives ni kwamba
Nadhani OGS anajua madogo gani anaweza kuwapa muda zaidi au kuwaingiza kwenye first team set up, na Chongy si mmoja wao
Pia madogo wamepata exposure.
Kingine ni kuwa Grant mwenye miaka zaidi ya 2 klabuni amepata mechi yake ya kwanza, akiichezea United
Ethan Laird ambaye amekuwa akipanda upande wa kulia kupiga krosi, wakati huo amekuwa akikaba na Dylan Levit amekuwa akipiga penetration na forward passes (debutants) wameonesha wana kitu cha kuisaidia timu kwa siku za mbele