CF ni Martial unategemea utafunga!! Mchezaji mvivu sana. Hajapiga hata shuti moja. Pereira leo alikuwa chini ya kiwango chake na amepiga shuti tatu na sio CF.
Saizi OT nisawa na Nangwanda sijajua tu hakuna kipyaHukujua kwa nini wanashangilia? Tukujuze tu walishangilia kucheza Old Traford na dunia nzima itawaona siku hiyo.
SawaMabingwa wa Ulaya ndio tunaingia uwanjani muda huu karibu karibu wooote mje muangaliee soka la uhakika.
Hao ndo Nyubuzi fc . Wanakamia karaghabao cup . Wananyooshwa na bounermothPoleni sana mashabiki wa ibilisi fc,Hawa Bournemouth wamewalaza mapema,muache kukamia mechi kubwa na kidondosha points kwa timu za kawaida.
Hujajua mpira, kiwango gani unataka tulikuwa 65/35 2nd half. Shida ni pale center forward.
Kheeee ayaaaaMabingwa wa Ulaya ndio tunaingia uwanjani muda huu karibu karibu wooote mje muangaliee soka la uhakika.
Mkuu kila mtu alikuwa committed, leo wawili tu walituangusha. Martial & Pereira
Ndiyo maana msimu huu tutakuwa bottom 10. Hatuna ubavu wa kushika nafasi ya 10.hata ule msimu wa Moyes mkuu?
Joshua king yupo ulaya uingereza anakula kipupwe, wewe komaa na jua la bongo

Safiii!! kenge hawaliva nae tayr kakalia msumari mmoja na mwenzake man city
wan bissaka ameendelea kuwa useless kwenye kupandisha mashambulizi kama kawaida yake, siku tutakayopata mwalimu mwenye fikra za guardiola au klopp basi tutaingia tena sokoni kwa lengo la kutafuta mlinzi mwengine wa kulia, ina maana tutakuwa tunaendeleza tabia ile ile ya kusajili wachezaji kwa kuangalia zaidi mzuka wa mwalimu.√Hiki kinachotokea ndo kile tunacholia nacho kila siku..consistency..Martial anacheza mechi moja vizuri nyingine hovyo..Tunahitaji No 9 wa kueleweka
√Sijawahi kumkubali Perreira..ni bora kwenye kitu gani??..Tunahitaji play marker ambaye pia anaweza kutoa key passes za uhakika
√Kuna watu wanamlaumu sana Fred ila mimi naona anapambana anapass foward,anatuliza timu n.k..anamiss kitu kwenye kukaba,anakuwa na Papara..
√Hii timu bila Pogba hatuwezi kabisa kutengeneza nafasi za kueleweka..Tunaomchukia huu ukweli lazima utuume
√On and Off that our mood this season..leo sherehe kesho msiba..inabidi tuzoee tu,no way
Man city 2 nowliva nae tayr kakalia msumari mmoja na mwenzake man city
Huko asenor nako kumenuka mkuuPoleni watani ngoja niende jukwaa pendwa la Arsenal maona huku lawama tu.



No penalty, no party.