Inabidi amauige conte na mfumo wake pendwa wa beki watatu nyuma, habadili mfumo hata iweje!! hii 4 2 3 1 inatu cost!!4 2 3 1 ya Ole imefeli ila hataki kubadilika.
Mechi tatu alizoshinda hakutumia huu mfumo wa Wenger.
Hovyo kabisa
Hahahahahahahahah Hiyo ndio Liverpool we fight till the end.Sawa
umetoka usingizini na furaha juu kama uliyeiona sura ya mwanamke uliyemuota kwa mara ya kwanza ukiwa unabaleghe.Hahahahahahahahahhahahahahahahahah
wan bissaka ameendelea kuwa useless kwenye kupandisha mashambulizi kama kawaida yake, siku tutakayopata mwalimu mwenye fikra za guardiola au klopp basi tutaingia tena sokoni kwa lengo la kutafuta mlinzi mwengine wa kulia, ina maana tutakuwa tunaendeleza tabia ile ile ya kusajili wachezaji kwa kuangalia zaidi mzuka wa mwalimu.
ndio maana tetesi zake za usajili sikuzifurahia kwa kiwango kikubwa sana.
bora ashley young kuliko wan bissaka kimchango kwenye kupandisha mashambulizi, timu inasumbuliwa na tatizo la kukosa wachezaji viungo walio creative jambo linalopelekea utatu wetu wa mbele uonekane butu lakini cha kusikitisha jamaa pia na yeye wala haleti faida kutokea pembeni, waangalie liverpool wanavyofaidika na walinzi wao wa pembeni muda wote wa mchezo.
wan bissaka benchi, brandon williams on ili ashley young arudi upande wa kulia
hivi timu yetu inafanya mazoezi ya kumiliki mpira pindi wachezaji wanapokuwa kwenye presha, mbona tunabutua mipira ovyo kama vichaa?
Hii ni timu ya kuvunja na kujenga upya kabisa chini ya mwalimu anayejua nini anafanya,sio huyu Ole. Naona kama nilivyosema,kazi ya kuwalaumu mabeki inaanza na sio muda Maguire nae ataanza kuonekana mzigo. Tulimlaumu Smalling leo alipo anafanya poa tu. Timu haina #10 viungo wazito, hao hao akina Bissaka wafanye kazi ya kuzuia na kupandisha mashambulizi?😂 Viungo wazito kama matairi ya trekta,wakipewa mipira hata kuichekecha waisukume mbele ni kazi,Bissaka mtoto wa watu afanye nini? Angalia timu zote nzuri kwa sasa zina angalau wachezaji wawili wanaoweza kuchekecha mabeki na kusababisha goli hata kwa lazima hata kama mabeki wa timu pinzani hawataki. MUFC ina nani? Lingard?😂😂 au Rashford ambaye ameotea free-kick moja juzi na kuitwa Ronaldo baada ya kupiga 200+ zilizoenda kupasua vichwa na hata kuua mashabiki? Angalia tu wachezaji wetu wa ushambulizi uone shida iliyopo,ukimtoa DJ,wengine wote mizigo,Martial sijui ndio ubishoo au ana matatizo ya kisaikolojia. Kwakifupi ni kwamba, kocha aliyepo pamoja na ubovu na kama atafukuzwa akaja mwingine,wana kazi kubwa sana ya kuisimamisha MUFC tena. |


Ole ni either mzito sana kufanya maamuzi sahihi au hajui anachofanya. Anaishia kubahatisha.
Ole hajui anachokifanya na ni mbahatishaji tu mkuu. Nilianza kutambua hili mapema katika mchezo wetu na PSG kwao. Dakika za mwisho aliingiza madogo nao wakaonje UEFA na wala hakuwa na mbinu za kuongeza goli ili tusonge mbele. |
Hii ni timu ya kuvunja na kujenga upya kabisa chini ya mwalimu anayejua nini anafanya,sio huyu Ole.
Naona kama nilivyosema,kazi ya kuwalaumu mabeki inaanza na sio muda Maguire nae ataanza kuonekana mzigo. Tulimlaumu Smalling leo alipo anafanya poa tu.
Timu haina #10 viungo wazito, hao hao akina Bissaka wafanye kazi ya kuzuia na kupandisha mashambulizi?
Viungo wazito kama matairi ya trekta,wakipewa mipira hata kuichekecha waisukume mbele ni kazi,Bissaka mtoto wa watu afanye nini?
Angalia timu zote nzuri kwa sasa zina angalau wachezaji wawili wanaoweza kuchekecha mabeki na kusababisha goli hata kwa lazima hata kama mabeki wa timu pinzani hawataki. MUFC ina nani? Lingard?au Rashford ambaye ameotea free-kick moja juzi na kuitwa Ronaldo baada ya kupiga 200+ zilizoenda kupasua vichwa na hata kuua mashabiki?
Angalia tu wachezaji wetu wa ushambulizi uone shida iliyopo,ukimtoa DJ,wengine wote mizigo,Martial sijui ndio ubishoo au ana matatizo ya kisaikolojia.
Kwakifupi ni kwamba, kocha aliyepo pamoja na ubovu na kama atafukuzwa akaja mwingine,wana kazi kubwa sana ya kuisimamisha MUFC tena.
Ukiwatazama liverpool wanavyocheza halafu ukaambiwa walilazimisha sare dhidi ya hii MUFC mbovu huwezi kuamini kabisa.
Ole hana football tactics baaaaasi. Wachezaji wanacheza tu kila mtu kwa uwezo wake ila siyo kwq mbinu.Ole ni either mzito sana kufanya maamuzi sahihi au hajui anachofanya. Anaishia kubahatisha.
Tukiwa tunaivunja na tusisahau kuiuza kwa waarabu wanaojua kutumia pesa, sio akina gleza sjui gloza na Woodward rubbish they dont feel pain at all, viletwe vifaa sio hii mikaa ya ovyo, mwarabu haweza kuvumilia kuona timu yake aliyoinunua inafanya upumbavu, tena itakua man u tishio
Ni bahili sana hao watu,inawezekana Ole alikubali mshahara mdogo sana
Ata Smalling akiwa Roma anacheza vizuriMeanwhile bolingoli kaweka 2 hukoView attachment 1252283