OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Sisi Man united tuna focus na Carabao.Yani unatoka kumfunga Chelsea then unakuja kufungwa na hii team kweli?Yani malengo ya hii team ni kuchukua Epl kweli?
Sisi Man united tuna focus na Carabao.Yani unatoka kumfunga Chelsea then unakuja kufungwa na hii team kweli?Yani malengo ya hii team ni kuchukua Epl kweli?
Rashid Makame leo hajapata penati???No penalty. No party.



HahahahahahahahahahahahahaBOURNEMOUTH acheni Upumbavu tunahitaji hizi point 3.





Ila hai game tunashinda. Martial atoke, Mata aingie, Rash asogee kati






HahahahahahahahaMan u is back to its default settings
Man of the mechi uyoooUmeona Bisaka ametoa goli
Leo ndo munajua hahahaIla Fred tulipigwa jamaa anapapara hovyo Sana,
Wee jaamaaaaa munafiki sanaaaaaaaMbona yupo kwenye Form kiongozi






SIKU YANGU HII IMESHAHARIBIWA MAPEMAAAA NA MARTIAL![]()
jamaa wewe sijui huwa unamaanisha au ni kweli ila huwa unanchekesha sana,yaani umetengeneza identity yako kwa kumchukia MartialMapenati United leo hamkupataaaa![]()
Walivyoifunga tu Chelsea wakaanza na hesabu za kupata ubingwa.Waliongea sana hawa kondoo na kombe Lao la mbuzi karaghabao
Mkuu kila mtu alikuwa committed, leo wawili tu walituangusha. Martial & Pereira
Sisi Man united tuna focus na Carabao.