Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
It's Matchday
GGMU
Ningependa kuona kitu kama hiki
DeGea
Tuanzebe - Maguire - Lindelof
Bissaka - Fred - Williams
James - McTominay - Rashford
Martial
Mkuu nimekutengenezea tu ipendeze
It's Matchday
GGMU
Ningependa kuona kitu kama hiki
DeGea
Tuanzebe - Maguire - Lindelof
Bissaka - Fred - Williams
James - McTominay - Rashford
Martial
It's Matchday
GGMU
Ningependa kuona kitu kama hiki
DeGea
Tuanzebe Maguire Lindelof
Bissaka Fred Williams
James McTominay Rashford
Martial

acheni mbwe mbwe.
It's Matchday
GGMU
Ningependa kuona kitu kama hiki
DeGea
Tuanzebe Maguire Lindelof
Bissaka Fred Williams
James McTominay Rashford
Martial
Kabla ya kuinunua PSG mwarabu aliitaka Liverpool Waliverpool wakakataa kwa kisingizio cha Utamaduni wao wakaamua kumpa Mmarekani.
Sasa na Manchester kuuziwa Muarabu linaweza kuwa ni Jambo gumu kuliko kumnunua Messi
Kabla ya kuinunua PSG mwarabu aliitaka Liverpool Waliverpool wakakataa kwa kisingizio cha Utamaduni wao wakaamua kumpa Mmarekani.
Sasa na Manchester kuuziwa Muarabu linaweza kuwa ni Jambo gumu kuliko kumnunua Messi
Kumi na wawili haoHahaha Tuanzebe ni majeruhi na atakuwa sidelined mpaka baada ya international break .
Sema kwangu mimi First eleven yangu
De Gea
Maguire Lindelof , Rojo
William's, Bissaka Fred, Tominay, pereira
Martial, Rashford na James
mkuu waarabu wapo vizuri ni makocha tu ndo wanaofail.mfano mzuri waarabu wa mancityHata mimi sitaki hiyo business. Waarabu timu zao zote licha ya kuwekeza mitaji mikubwa bado siyo kivile
Kwanini unasema utafurahi??Dah hiyo habari kama ni yakweli ndafurai saana.
Wasaudis washafanya yaoView attachment 1251776
Kumi na wawili hao
Huna akili kichwani mwako.Naombea Pogba asirudi mapema yule kirusi.
Huna akili kichwani mwako.
Ubabe wa zama hizi ni pesa tunahitaji kurudisha heshima yetuWasaudis washafanya yaoView attachment 1251776
Mkuu wachezaji 12 hao..Hahaha Tuanzebe ni majeruhi na atakuwa sidelined mpaka baada ya international break .
Sema kwangu mimi First eleven yangu
De Gea
Maguire Lindelof , Rojo
William's, Bissaka Fred, Tominay, pereira
Martial, Rashford na James
Mkuu wachezaji 12 hao..
GGMUDhidi ya Cherries leoView attachment 1251860