Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kumbuka hapa, Manchester hainunuliwi kutoka kwa Waingereza, bali kutoka kwa MFANYABIASHARA MMAREKANI

Maneno niliyoyaandika kwa capital letter yapewe uzito wake

Waingereza si Wajinga kivile!

Timu zao zinapomilikiwa huwa wana vipengele vyao vya Kumzuia Mmiliki kufanya Maamuzi anayoyataka mwenyewe.

Hata Liverpool ilikuwa ikimilikiwa na Wamarekani (Gillet) lakini alizuiwa Mahakamani Kutokuiuza au kumuuzia anayemtaka yeye! Bali alitakiwa Kuuziwa yule Waingereza waliyemtaka wao.

Kwahiyo na hao Wamarekani wa Manchester usidhani wamepewa Mamlaka ya Kufanya Maamuzi wanayoyataka.

Hizi timu zina wenyewe nje ya Umiliki.

NOTE: Tusijefukua Makaburi sijasema Kuwa Manchester haiwezi kuuzwa kwa Waarabu
 
Tatizo la Manchester United kupiga pass za makadirio imekuwa shida. Linderolf na Bisaka sielewi wanachokifanya ila kama wakiendelea hivi kidogo kuna matumaini ya kubadilika huko mbeleni
 
Sijakuelewa kwa jauoni wanayofanya Victor na Aron? Ungesema Martial kidogo ningeelewa
Tatizo la Manchester United kupiga pass za makadirio imekuwa shida. Linderolf na Bisaka sielewi wanachokifanya ila kama wakiendelea hivi kidogo kuna matumaini ya kubadilika huko mbeleni
 
Back
Top Bottom