NEVADA
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 458
- 939
Mtanyyoshwa nyie nyumbu fc . Nafasi ya 15 inawahusu
Darajani hapohapo tumewamwagia Oil, Tulia tu
Darajani hapohapo tumewamwagia Oil, Tulia tu
Yeye ni mbuzi wa kafara kabisaWaliocheza wote basi ni mbuzi
Kuna watu wakisikia fulani ni Defender mzuri basi wanajua hawezi kupitwa.Kumbuka ile ilikua ni counter attack kali, ulitaka Maguire alime kwanja kwa nyuma apewe red card?
We Chelsea Ukiwaita United nyumbu timu inayokuzidi kila kitu itakuwa hazikutoshi mkuu.Mtanyyoshwa nyie nyumbu fc . Nafasi ya 15 inawahusu
Kipindi Lampard analeta timu uwanjani hakujua hio ni mechi ya kombe gani?Mnashinda kombe la mbuzi mnaongea sana ngoja ligi ianze mnyooshwe
Maguire kasababisha goal la kusawazisha la Chelsea,1. Maguire muache tu ni mwamba
2. Rojo ni muhuni wa South America huko, nampenda anacheza jihad. Wale maforward wasumbufu anawapoteza sana, natamani amkabe Sterling. Anawatuliza mastriker wanaacha papara.MZURI SANA, HAREMBI.
3. RASHFORD NI MOTO.
4.MARTIAL AKATAFUTE TIMU NYINGINE, Timu kama Southampton itamfaa zaidi.
Nmependa hii comment.Kwa sasa hawa ndo wachezaji wetu,
OGS ndo kocha wetu
Man United ndo timu yetu
Timu inajengwa taratibu tayari tushaanza kupata wacheji mmoja mmoja ambao wanastahili kuvaa ule uzi i hope na wengine wataendelea kupatikana
GGMU
William namuamini sana kuliko shaw kwa sasa utasema ana miaka 18 kwenda mbele ndo kwanza kana 17Scott ni hatari sana yule dogo, anajua kukaba na kuanzisha mashambulizi.
hata dogo William jana amecheza vzr pia.. Martial ndio bado analeta urembo vitani.
Tulia bwana mdogo daraja lenu tumewapa wanajeshi wanalikarabati huko handeni TangaWatakuja tena pale geto ..jana waligoma wakalala na nguo
Namkubali DJ sana..hata asipotoa assist lakini unaona anapambana,anakimbia..A real United playerHuyu dogo anajua what it means to be a United Player View attachment 1249591View attachment 1249594
angalau unaona kuna muunganiko sehemu ya kiungo wakati wa kukaba na kushambulia mkuu.
Akija yule bwana uwiano wa timu kwenye kukaba unapotea
Ndugu uwe na heshima kwa ajax nadhani habari yao unayo sio suala la kuwataja taja juventus na Madrid sio team za mchezo kuinama mbele yaoIngekuwa chelsea hajawah kufungwa na united point yako ingekuwa na mashiko
Herrera na pogba walikutandika mbili bila hapo darajani
Martial alikufunga 2 hapo darajani mkasawazisha dakika ya 96 huko ina maana mlikufa sioni jipya kwa chelsea
Mnafikir sisi ni ajax sio?
Wapi nimeonesha kuwadharau? Kwamba muwaonee ndio kuwakosea heshima kwamba hamna timu inayoionea timu nyingine?Ndugu uwe na heshima kwa ajax nadhani habari yao unayo sio suala la kuwataja taja juventus na Madrid sio team za mchezo kuinama mbele yao
Wakati munaeka hio bet kulikuwa na kigezo cha penalty? Na akiendelea na hizi stats atafunga goli 20 mpaka 30 msimu huu.Ebu toa goli za penalty alizofunga Rashid Makame tujue anazo ngapi za uwezo binafsi