Huu ni zaidi ya uchawi
Tatizo wachezaji wengi ni watoto na siyo threat kwa timu yoyote.
Kocha mwenyewe hajielewi unawezaje kutumia mfumo mmoja mechi nane halafu zote unapata matokeo ya aina moja bila kufanya mabadiliko ?
Dirisha la usajili lilipita bila kufanya replacement ya wachezaji waliouza na hakuwa na mpango wa kununua mwingine alitegemea nini ?
Ile ni "the Longstaff family"Duh kumbe ni mech ya kwanza, nasikia ni mtu na kaka yake
Hahahaha wewe kipofu mwenzangu utaona lini hahahahaKipofu kaona
Kwa Tathmini ya haraka haraka ni kwamba kila timu pale Epl inataka ihakikishe imecheza na Man United na kuondoka na ponit kabla Ole Hajatimuliwa
ndio maana nikakwambia hao legends ni wanafiki wakubwa, timu imeharibiwa na mwalimu mwenyewe waache kutafuta visingizio vya kijinga
Nadhani inatakiwa ifumuliwe upya kuanzia body, kocha hadi wachezajiHii timu inajivunjia heshima kwa kasi sana.
Yaan kwa kariba ya wachezaji tulionao sioni umuhimu wa kocha mpya....yaani wachezaji hawana spirit kabisa..wanacheza wamerelax sanaa...hawapambanii brand ya utd
Leo mumemtoa Nu Casto kwenye red Zone ..mmetisha sanaTukipigwa game mbili tumeshika mkiaView attachment 1225232
Daaah kweli we ni albino mweusi, maana si kwa roho mbaya hiyoMwaka wa ngapi huuu hesabuni tu mtaikuta miaka ya liver na arsenal
Hahahaha au leo tumsaidie niniKuna jamaa mmoja anajiita ARV, ni bingwa wa kuletaga misimamo ya ligi. Aje atupostie tuone!
Kocha nae hana spirit ya kutafuta ushindi wachezaji wake wanacheza kama wako honeymoon na yeye anachekacheka hovyo tu
Vile wachezaji wenzie wa zamani walimsakama Mou na LVG leo hii kimya 😂 sijamsikia Scholes kabisa😂 |
Mount ana miaka 20,Abraham ana miaka 21.Wale wakina tammy abraham monson mount wa chelsea wnanaumri gan
Ujamuona Lampard nini.Conte kachukua timu mwez wa 7 lakin mpira wanaocheza kama ana muda mrefu nayo
Wale wakina tammy abraham monson mount wa chelsea wnanaumri gan
Wakina Tammy na Mount wana miaka 26, kwa 29 awa akina rashid na Lingarf si bado andaetini ..kwa iyo tuwavumilie wakue kue kwanza wazoee ligi ndo wataanza kufunga..Wale wakina tammy abraham monson mount wa chelsea wnanaumri gan
Au sio??LEO WANA MAN U TUWE NA IMANI TUNASHINDA NIMEIANGALIA NEWCASTLE YA STEVE BRUCE NI WABOVU BALAA KULIKO SISI... WANACHEZA 5-4-1 MUDA WOTE WAKO NYUMA.. NINA IMANI TUKIPATA KA GOLI KAMOJA KAMA KAWAIDA YETU MSIMU HUU WAKUFUNGA KAGOLI KAMOJA BASI HAWA JAMAA HAWAWEZ KUKASAWAZISHA... ILA WAKISAWAZISHA TU BASI ITAKUWA SARE YA 1-1 MAANA MAN U KWA SASA HATUNA UWEZO WA KU SCORE GOLI ZAIDI YA 2 UKIACHA ILE MECHI YA CHELSEA TU TULIOMGONGA 4-0.. KWAHIYO LEO MAN U KUSHINDA 1-0 AU MECHI SARE 1-1